Nanuku kuwa Jaji Lewis Makame amesema ktk matangazo ya BBCswahili kupitia Ustream amesema matokeo ya Urais yatatoka siku ya Ijumaa tarehe 05/Nov/2010. Jaji Lewis aliyasema hayo ktk mahojiano na BBC yaliyorushwa Ustream saa 10:30 jioni ya leo tarehe 01.Nov.2010 Jijini Dar-es-Salaam.