Elections 2010 Jaji Makame asema ' Matokeo ya Urais kutangazwa Ijumaa 05/Nov/2010

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,245
24,108
Nanuku kuwa Jaji Lewis Makame amesema ktk matangazo ya BBCswahili kupitia Ustream amesema matokeo ya Urais yatatoka siku ya Ijumaa tarehe 05/Nov/2010. Jaji Lewis aliyasema hayo ktk mahojiano na BBC yaliyorushwa Ustream saa 10:30 jioni ya leo tarehe 01.Nov.2010 Jijini Dar-es-Salaam.
 
Eheeeeee. Inamaana muda haotoshi wa kuchakachua? Ndio maana wanatangazi wajimbo 10 tu baada ya masaa takribani 6? Ukifanya mahebu ya haraka haraka wanahitaji siku 10 na kuendelea ili kukamilisha majimbo yote. Hii ni hatari sana kwa Taifa hili
 
Si walisema watatangaza ndani ya siku moja? Au walitegemea bosi wao atashinda kwa mteremko na sasa mambo yamewawia vigumu wanatoa muda wa kutosha kwa wachakachuaji wao. Too bad.
 
this is absolutely unfair to all dedicated Tanzanians... the country has spent huge sum on IT.... sielewi ya Ubunge yanatokaje na uris hayatoki...

JK na wenzako... you may chakachua for long time, but you cant chakachua all the time

2015 here we come
 
makame ni wa kupiga bomba tu ajue citizens are above all of them put together!
 
Nanuku kuwa Jaji Lewis Makame amesema ktk matangazo ya BBCswahili kupitia Ustream amesema matokeo ya Urais yatatoka siku ya Ijumaa tarehe 05/Nov/2010. Jaji Lewis aliyasema hayo ktk mahojiano na BBC yaliyorushwa Ustream saa 10:30 jioni ya leo tarehe 01.Nov.2010 Jijini Dar-es-Salaam.[/QUOTE\

Sasa mambo yanaanza kuonekana tatizo kubwa siyo wananchi,bali watanzania bado hawajawa huru.Endapo a learned judge(kama wanasheria wanavyopenda kujiita), Makame
na usomi wake hawezi kuheshimu wananchi na yuko kutetea masilahi ya waliomweka na masilahi yake basi Tanzania hatujawa na uhuru(not yet Uhuru)kama alivyo andika Odinga sr. kwenye kitabu chake.
Tume ya uchaguzi kwa muda mrefu sana imekuwa ikiwanyima haki wananchi wa Tanzania kwani ipo kwa manufaa ya walioko kwenye madaraka na siyo kwa masilahi ya Taifa,nadhani jaji Makame ameisha kula vyakutosha na kupotosha umma mno. Hivyo
ni vyema wananchi sasa wakaelekeza nguvu katika kurekebisha tume hiyo ili iendane na wakati.(hata hivyo ni maajabu kutegemea kati ya timu mbili zinazo shindana uwanjani moja ikiwa na marefaa na washika vibendera wao kushindwa na hiyo timu nyingine)hayo ndo matatizo tuliyo nayo watanzania kama tutakimbilia kuzima moto pasipo kutatua chanzo tukubali kuendelea kuwa zima moto.
 
Back
Top Bottom