Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
ITV live hapa jaji mstaafu Lewis Makame alipofika kusoma matokeo ya Jimbo la Ubungo akapatwa kigugumizi ndipo mkurugenzi wa NEC akamwambia eti Jimbo la Ubungo linarekebishwa bado aklaliruka baada ya mjadala wa kama 2min na kuendelea na Jimbo la ukerewe. Heheheehe looks like they are not over with kuchakachua mpaka mbele ya waandishi wa habari na live kwenye TV zote local???