Jaji Makame Anajisikiaje Kuwa M/Kiti wa Tume Inayolalamikiwa Kila Kukicha!!!

Gosbertgoodluck

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
2,855
401
Wazee,
Kuna jamaa mmoja aliniambia kwamba majaji ni watu makini sana katika kufanya mambo yao. Katika nchi zote duniani hata zisizofuata demokrasia na haki za binadamu majaji ni miongoni mwa kundi la watu wanaoheshimiwa sana. Kwa ujumla, hata Tanzania hali ndivyo ilivyo. Sasa kwa muktadha huo, nimekuwa nikimtafakari sana Jaji Lewis Makame kwamba hivi anajisikiaje anaposikia wananchi, NGOs, viongozi wakongwe na wanaoheshimika hapa nchini, vyombo vya habari na wanaharakati kwa ujumla wakipiga kelele kutaka mabadiliko ya Tume???? Kwamba tume anayoingoza siyo huru na kwamba maamuzi yake hayawezi kupingwa mahakamani.

Bila chembe ya shaka lazima naye anajua fika kwamba kinachoongelewa na wananchi ni haki. Lakini yeye anajisikiaje?? Anafanyeje kazi katika mazingira hayo, kama ni jaji aliyeiva kwelikweli??? Je, moyoni mwake ana amani kweli??
 
MHH best kuna wakati inafika watu wanakosa roho za huruma au za kujiuliza maswali just bcoz wanaweka maslahi mbele,nyuma,pembeni,juu na chini yao....hapo ukimuuliza atasema ni fitina,ila muache tu guilty consious itammaliza,hawa ndio wanaokufa vifo vya ajabu
 
Wazee,
Kuna jamaa mmoja aliniambia kwamba majaji ni watu makini sana katika kufanya mambo yao. Katika nchi zote duniani hata zisizofuata demokrasia na haki za binadamu majaji ni miongoni mwa kundi la watu wanaoheshimiwa sana. Kwa ujumla, hata Tanzania hali ndivyo ilivyo. Sasa kwa muktadha huo, nimekuwa nikimtafakari sana Jaji Lewis Makame kwamba hivi anajisikiaje anaposikia wananchi, NGOs, viongozi wakongwe na wanaoheshimika hapa nchini, vyombo vya habari na wanaharakati kwa ujumla wakipiga kelele kutaka mabadiliko ya Tume???? Kwamba tume anayoingoza siyo huru na kwamba maamuzi yake hayawezi kupingwa mahakamani.

Bila chembe ya shaka lazima naye anajua fika kwamba kinachoongelewa na wananchi ni haki. Lakini yeye anajisikiaje?? Anafanyeje kazi katika mazingira hayo, kama ni jaji aliyeiva kwelikweli??? Je, moyoni mwake ana amani kweli??


Sidhani kuwa haya malalamiko yanamkosesha usingizi!!
 
Ni hivi, cowards die many times before the actual death! Kama ana dead conscience wala hawezi kufeel chochote!
 
Wazee,
Kuna jamaa mmoja aliniambia kwamba majaji ni watu makini sana katika kufanya mambo yao. Katika nchi zote duniani hata zisizofuata demokrasia na haki za binadamu majaji ni miongoni mwa kundi la watu wanaoheshimiwa sana. Kwa ujumla, hata Tanzania hali ndivyo ilivyo. Sasa kwa muktadha huo, nimekuwa nikimtafakari sana Jaji Lewis Makame kwamba hivi anajisikiaje anaposikia wananchi, NGOs, viongozi wakongwe na wanaoheshimika hapa nchini, vyombo vya habari na wanaharakati kwa ujumla wakipiga kelele kutaka mabadiliko ya Tume???? Kwamba tume anayoingoza siyo huru na kwamba maamuzi yake hayawezi kupingwa mahakamani.

Bila chembe ya shaka lazima naye anajua fika kwamba kinachoongelewa na wananchi ni haki. Lakini yeye anajisikiaje?? Anafanyeje kazi katika mazingira hayo, kama ni jaji aliyeiva kwelikweli??? Je, moyoni mwake ana amani kweli??
Anajisikia poa tu!
Mbona wako wengi Majaji wasotenda haki hapa Bongo!
Kwanza Ujaji aliupata kwa kichakachua!
 
Ni hivi, cowards die many times before the actual death! Kama ana dead conscience wala hawezi kufeel chochote!


Muonekano wake ni kama mtu katili sana. waliomchagua nao waliangalia hilo. Labda walio na updates zake enzi za ujaji. maana akina Jaji Nyarari wameacha mambo mazuri na wanakumbukwa sana.
 
Wazee,
Kuna jamaa mmoja aliniambia kwamba majaji ni watu makini sana katika kufanya mambo yao. Katika nchi zote duniani hata zisizofuata demokrasia na haki za binadamu majaji ni miongoni mwa kundi la watu wanaoheshimiwa sana. Kwa ujumla, hata Tanzania hali ndivyo ilivyo. Sasa kwa muktadha huo, nimekuwa nikimtafakari sana Jaji Lewis Makame kwamba hivi anajisikiaje anaposikia wananchi, NGOs, viongozi wakongwe na wanaoheshimika hapa nchini, vyombo vya habari na wanaharakati kwa ujumla wakipiga kelele kutaka mabadiliko ya Tume???? Kwamba tume anayoingoza siyo huru na kwamba maamuzi yake hayawezi kupingwa mahakamani.

Bila chembe ya shaka lazima naye anajua fika kwamba kinachoongelewa na wananchi ni haki. Lakini yeye anajisikiaje?? Anafanyeje kazi katika mazingira hayo, kama ni jaji aliyeiva kwelikweli??? Je, moyoni mwake ana amani kweli??

Nionavyo Mhe. Jaji Lewis anayo amani sana tu ndani ya moyo wake, maana hajaenda nje ya ToR zilizo mweka m,adarakani
 
Rushwa hupofusha!!!!! Ila asisahau kwamba rushwa nia adui wa haki!!! Mbele ya Watanzania Makame amepoteza kabisa sifa ya kuitwa Justice, sifa yake ni Rtd INJUSTICE makame!!!!! Sijui kama anasoma JF ili apate hisia zangu hizi; I am very serious ajue hili!!!!!!!!
 
Kwa raha zake kwanza ata umri umeenda so ata akiwatibulia vumbi vijana na taifa lenu ambalo mpaka lafika miaka 50 bado changa hana cha kupoteza
 
Yule anaonekana kuwa mkatili sana. Unajua taaluma ya sheria ni ya kuangaliwa mara mbili mbili. Sometimes inaleta INJUSTICE.
 
Back
Top Bottom