Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
Ndivyo alivyosema Mwenyekiti huyo wa NEC katika mahojiano na mtangazaji wa kipindi cha Nipashe asubuhi leo akitangaza kuahirisha uchaguzi katika kata nne za Arusha. Hakutaja kabisa mlipuko, bali fujo tu!