Jaji Joachim Tiganga ameikosesha Mahakama point tatu muhimu dhidi ya Serikali

Uko sawa. Lakini Jaji hawezi kutoa ruling kwamba mtuhumiwa ana kesi ya kujibu kama hajawa convinced na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka kwamba mtuhumiwa ana hatia ya makosa mahsusi (specific offenses).

Inawezekana pia akawa hana hatia. Ndio maana, kufikia hatua hiyo, LAZIMA upande wa utetezi upewe nafasi kujitetea kwa ushahidi na vielelezo kupinga ruling hiyo ili kuthibitisha kuwa mtuhumiwa hana hatia.

Kwa DPP, hiyo ni point of no return - in a credible juridical process.
Kwani haiwezekani kwamba kukawa na ushahidi wenye utata fulani, utata unaotakiwa kutatuliwa kwa kesi kusikilizwa, na hilo likasababisha mshtakiwa awe na kesi ya kujibu, hata kama ni kwa kujisafisha, na jaji kusema kuna kesi ya kujibu?

Kwani kuwa na kesi ya kujibu hakuwezekani kuletwa na technicality ambayo haina uhusiano wowote na mtu kuwa au kutokuwa na hatia?
 
1.Jamhuri wakaishia njiani kuleta mashahidi waliokuwa nao!
2.Jamhuri wakataka kujua majina na anuani za mashahidi wa utetezi!
3.Siku Moja kabla ya Mbowe kuanza kujitetea,Rais anakutana na viongozi wa dini na anaombwa amalize suala la Mbowe Kwa kumsamehe!
4.Siku Moja baadaye,Magereza wanasema Mbowe ni mgonjwa hivyo hawakuweza kumfikisha mahakamani!
5.Kibatala anasema hana taarifa ya mteja wake kama ni mgonjwa,anaomba basi kama ni hivyo kesi iahirishwe mpaka j3.
6.Mawakili wa serikali waomba kuwasilisha Nia DPP kutoendelea na kesi!
7.Jaji Kwa hasira,anatoa amri Mbowe aachiwe siku hiyo hiyo na si vinginevyo!
8.Mbowe anaachiwa akiwa mzima wa afya na si mgonjwa kama ilivyodaiwa na magereza!

Umejifunza Nini?
Aaaaaiiiseee 😀
 
Kitendo cha Jaji Joachim Tiganga aliyekuwa anasikiliza kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe na wenzake watatu kuamua kuwa wana kesi ya kujibu na baadaye serikali kupitia kwa DPP kusema hawana nia ya kuendelea na kesi kimeidhalilisha sana mahakama.

Endapo Jaji Tiganga angemaliza kesi hii mara baada ya Jamuhuri kumaliza ushahidi wake kwa kuamua kuwa akina Mbowe na wenzake hawana kesi ya kujibu, mahakama ingejijengea heshima kubwa sana kwa Watanzania na Dunia kwa ujumla. Hivi sasa mahakama imedhihirisha haiko huru na inategemea maoni ya serikali kuamua kesi.

Udhaifu huu wa mahakama umemfanya Samia kuwa shujaa (heroine) na kijizolea sifa asizostahili ndani na nje ya nchi. Sifa ambazo mahakama ingezipata kama ingetoa hukumu ya haki.

Jaji Mkuu anapaswa kujitafakari sana na hasa kwa kauli yake ya kuwataka majaji kutoa hukumu kwa kuzingatia maoni ya Jamuhuri.
Nani kama mama?

Kwani mara ya kwanza hii kwa mama kuachia waliokuwa wanasubiri kesi za kigaidi mahakamani? Fikiri. Uamsho wako wapi?

Bwana Yule alitisha hata majaji. Nani asiyeelewa hilo? Kazi ya Mungu haina makosa.
 
1.Jamhuri wakaishia njiani kuleta mashahidi waliokuwa nao!
2.Jamhuri wakataka kujua majina na anuani za mashahidi wa utetezi!
3.Siku Moja kabla ya Mbowe kuanza kujitetea,Rais anakutana na viongozi wa dini na anaombwa amalize suala la Mbowe Kwa kumsamehe!
4.Siku Moja baadaye,Magereza wanasema Mbowe ni mgonjwa hivyo hawakuweza kumfikisha mahakamani!
5.Kibatala anasema hana taarifa ya mteja wake kama ni mgonjwa,anaomba basi kama ni hivyo kesi iahirishwe mpaka j3.
6.Mawakili wa serikali waomba kuwasilisha Nia DPP kutoendelea na kesi!
7.Jaji Kwa hasira,anatoa amri Mbowe aachiwe siku hiyo hiyo na si vinginevyo!
8.Mbowe anaachiwa akiwa mzima wa afya na si mgonjwa kama ilivyodaiwa na magereza!

Umejifunza Nini?

Pathetic Driving
 
1.Jamhuri wakaishia njiani kuleta mashahidi waliokuwa nao!
2.Jamhuri wakataka kujua majina na anuani za mashahidi wa utetezi!
3.Siku Moja kabla ya Mbowe kuanza kujitetea,Rais anakutana na viongozi wa dini na anaombwa amalize suala la Mbowe Kwa kumsamehe!
4.Siku Moja baadaye,Magereza wanasema Mbowe ni mgonjwa hivyo hawakuweza kumfikisha mahakamani!
5.Kibatala anasema hana taarifa ya mteja wake kama ni mgonjwa,anaomba basi kama ni hivyo kesi iahirishwe mpaka j3.
6.Mawakili wa serikali waomba kuwasilisha Nia DPP kutoendelea na kesi!
7.Jaji Kwa hasira,anatoa amri Mbowe aachiwe siku hiyo hiyo na si vinginevyo!
8.Mbowe anaachiwa akiwa mzima wa afya na si mgonjwa kama ilivyodaiwa na magereza!

Umejifunza Nini?
Ubabaishaji Mtupu. Hivi sie akina kwangu pakavu tia mchuzi,si tunaozea jela kwa kubambikiwa Kesi? Hivi wale waliokuwa wana shadadia kuwa Mbowe ni Gaidi,,sura zao leo hii wameziweka wapi? Hivi Jaji anajisikiaje ,,?? Kuna mengi mengi sana ya kujiuliza,,Hivi hii Mahakama iko kwa ajili ya Mujibu wa katiba? au iko kwa mujibu wa watawala? Sielewi hapa,,nimekwama ndugu zangu,,kuijua mahaka kuwa ni ya watawala au ni ya mujibu wa katiba.
 
kesi ya mchongo lakini Cha ajabu hamjui huo mchongo ulichongwa vipi?
Nyie mmekomaa tu kesi ya mchongo kesi ya mchongo.ila hamtoi maelezo huo uchongo ukoje.
Mbowe ana wafuasi weupe sana.
Wasiopenda kuhoji
Hata mgambo wa jiji walikuwa wanajua kuwa kesi ilikuwa ya mchongo mchongo
 
Back
Top Bottom