Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Na bado kuna watu wanashupaza misuri kwamba Mbowe na wenzake watatu walikua na vitendo vya kigaidi na kwamba "wamesamehewa"Hakuna uficho wowotè usiukuwa wazi.
Kila mwenye akili ameuona mwenendo wa kesi.
Kila uchao serikali na mahakama zinadhalilishwa.
Eti askari ofisa wa polisi anaumwa kuharisha na kukimbilia chooni , akiulizwa na kushindwa kujibu maswali.
Na bado Jaji Tiganga anasema kuna kesi ya kujibu!
Ninyi kizazi cha nyoka ndio hamna uwezo wa kuona na kuelewa.