Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,123
Ala!! kumbe ni mkabila pia.......
Mkuu nakuambia tatizo la ukabila kwenye nchi yetu ni kubwa kuliko tunavyoweza kufikiria.Mungu atuepushe na hii laana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ala!! kumbe ni mkabila pia.......
Nyani.. siyo madai yangu ni ya hao jamaa; lakini ni vigumu kuamini kwa msukuma kuwa mkabila. Nadhani hapo wanaweza kuwa wamekosea kwani katika Tanzania ukabila unadaiwa kuwa ni domain ya watu wa eneo fulani la nchi yetu. koh koh koh...
Mie nahisi vyeo vote vya kuteuliwa na Rais huwa vina matatizo na huwa siyo Rahisi kwa mwenye Nchi kumng'oa mtu bila mashauriano kati ya vyombo vya usalama na mwenye nafasi hiyo. Mie nadhani Wananchi wawe wanachagua kila kiongozi wanayemtaka akae sehemu flani na akishindwa wanamng'oa.
Nyani.. siyo madai yangu ni ya hao jamaa; lakini ni vigumu kuamini kwa msukuma kuwa mkabila. Nadhani hapo wanaweza kuwa wamekosea kwani katika Tanzania ukabila unadaiwa kuwa ni domain ya watu wa eneo fulani la nchi yetu. koh koh koh...
Mzee Mwanakijiji umesema kweli, kabila kubwa Tanzania ni wasukuma lakini hawana/hatuna tabia za ukabila kabisa. Ila bado kwa mtu mmoja binafsi inaweza kutokea yaani ikawa ni tabia yake tu kama unavyoweza kubahatika kumpata mnyakyusa mnyimi (asiye mkarimu).
Mzee Mwanakijiji umesema kweli, kabila kubwa Tanzania ni wasukuma lakini hawana/hatuna tabia za ukabila kabisa. Ila bado kwa mtu mmoja binafsi inaweza kutokea yaani ikawa ni tabia yake tu kama unavyoweza kubahatika kumpata mnyakyusa mnyimi (asiye mkarimu).
Imeshaelezwa hapa kuwa Jaji Ihema alikuwa na tuhuma nyingi tangu akiwa mahakama kuu, tuhuma za rushwa na tabia nyingine ambazo ni kinyume na maadili ya taaluma na utumishi wake kama mtoa haki.Kwahiyo huyu mtu ana matatizo yake binafsi wala haiwezi kulinganishwa na ukabila uliowahi kuzungumzwa hapa, ukabila unaofanywa kwa makusudi kabisa kwa kiwango kikubwa.Kwahiyo MMKJJ wala usilazimishe kikohozi, kwakuwa hutaki kukubaliana na ukabila unaotajwa dhidi ya watu fulani ambao wewe ni mtetezi wao.
Kwakuwa wafanyakazi wametuonyesha namna Ihema anavyowaburuza na kuendesha taasisi hiyo kidikteta, ni vizuri tujikite kuujadili huo udikteta wake badala ya kutaka kuhamisha mada kwenda kwenye ukabila ambao katika barua za wafanyakazi hawajautaja.
sasa mtu aliyezungukwa na tuhuma za rushwa ndiyo anapewa kusimamia maadili?
Mzee Mwanakijiji umesema kweli, kabila kubwa Tanzania ni wasukuma lakini hawana/hatuna tabia za ukabila kabisa. Ila bado kwa mtu mmoja binafsi inaweza kutokea yaani ikawa ni tabia yake tu kama unavyoweza kubahatika kumpata mnyakyusa mnyimi (asiye mkarimu).
Mkjj, msanii JK aliunda tume kuchunguza tuhuma dhidi ya ufisadi uliofanywa na Richmond/Dowans. Moja ya recommendations zao ni kuondolewa Hosea pale TAKUKURU, lakini hadi hii leo bado anapeta tu!!! Sijui kuna umuhimu gani wa kuunda tume zinazotumia mabilioni ya fedha ili kufanya kazi waliyotumwa na mheshimiwa, halafu recommendations zao wanazotoa hazifanyiwi kazi yoyote na mheshimiwa!!!! Pamoja na Wafanyakazi kutaka huyu fisadi aondolewe hapo haraka iwezekanavyo, tusishangae kumuona anaendelea kupeta tu maana nchi yetu kwa sasa ni kama haina uongozi wowote ule
katika uongozi wake hamna chochote kilichofanyika kuhusiana na uchunguzi wa maadili ya viongozi, anafanya usanii tu na kula fedha za serikali
Ungesoma hizo barua usingefikia hiyo hatima; na mimi na ukabila ni vitu viwili tofauti. Mtu akiudai tu ninashtuka. Soma tena hizo barua halafu uje tena ujaribu.