Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,761
- 40,974
"ka nzi" kanakozunguka kwenye ofisi mbalimbali za serikali kamerudi na uchafu mwingine. Uchafu huu unadaiwa kuwa uko kwenye Tume ya Maadili ya Viongozi ambayo ndiyo chombo ambacho Watanzania wanatarajia kiwe cha kwanza kwa usafi. Wafanyakazi wanasema wamechoka, na wanataka mkuu wao ang'olewe na wameandika barua kadhaa kuanzia Ikulu na Ofisi ya Waziri Mkuu. Zifuatazo ni barua zao mbili ambazo KLHN imefanikiwa kuzipata kutoka kwa "ka nzi" ketu. Je ni kweli au ni uzushi? amua mwenyewe.
Attachments
Last edited by a moderator: