Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 383
- 781
Inakuaje hapo
Jaji au Hakimu anasoma hukumu halafu mkiomba nakala haiko tayari
Alikuwa anasoma nini?
Jaji au Hakimu anasoma hukumu halafu mkiomba nakala haiko tayari
Alikuwa anasoma nini?
Punguza upimbi jombaa, nini maana ya summary? Hivi huko vichwani huwa mmejaza funza au tatizo ni nini hasa? Narudia nijibu maana ya summary halafu nitarudi...Jaji anakuwa anasoma summary ya hukumu ila ile nakala kamili iliyosainiwa inakuwa bado kukamilika.
Kuandika hukumu kunahitaji uangalifu sana haswa kwa mahakama za rekodi kama Mahakama Kuu
Ungeweza kuuliza bila kutukana na ukaelimika. Nina ujuzi na kazi za Mahakamani kwa hiyo sibahatishi.Punguza upimbi jombaa, nini maana ya summary? Hivi huko vichwani huwa mmejaza funza au tatizo ni nini hasa? Narudia nijibu maana ya summary halafu nitarudi...
Summary ni muhtasari au ufupisho wa andiko lolote.Punguza upimbi jombaa, nini maana ya summary? Hivi huko vichwani huwa mmejaza funza au tatizo ni nini hasa? Narudia nijibu maana ya summary halafu nitarudi...
Summary ni muhtasari au ufupisho wa andiko lolote.