MWANAWAVITTO
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 258
- 220
Nimepokea ujumbe kutoka kwa mtu mmoja ambaye yupo karibu sana na jaji aliyetoa hukumu ya Lema, ambaye pia ni kiongozi wa idara nyeti serekalini na kuniambia kuwa jaji Rutakibalila alitishiwa maisha ili kupindisha hukumu. akinieleza kwa masikitiko alisema hakupenda kufanya vile ila alishinikizwa,ndiyo maana alipoingia mahakamani aliletwa na gari la jeshi JWTZ na hata saa ya kuondoka aliondolewa na JWTZ. alisema mtoa habari