UJANJAUJANJA
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 226
- 122
Wana JF,
Nipo hapa Mahakama Kuu DSM ambapo nimekuja kuhudhuria kesi ya mteja wangu. Kesi zote hapa zinaahirishwa kwa kuwa Majaji wote wapo Ikulu ambapo wamekwenda kuhudhuria uapishwaji wa Majaji wapya wa Rufaa,akiwemo Jaji Prof. Ibrahim Hamis Juma. Nutarudi na taarifa ndefu kumhusu Jaji huyo nikimaliza kesi hapa,ila uteuzi wake tangu alipoteuliwa ba ****** kuwa mwenyekiti tume ya kurekebisha sheria,na baadaye. ujaji ulitokana na jinsi alivyombeba Riz1 wakati akiwa mkuu wa Kitivo cha Sheria
Nipo hapa Mahakama Kuu DSM ambapo nimekuja kuhudhuria kesi ya mteja wangu. Kesi zote hapa zinaahirishwa kwa kuwa Majaji wote wapo Ikulu ambapo wamekwenda kuhudhuria uapishwaji wa Majaji wapya wa Rufaa,akiwemo Jaji Prof. Ibrahim Hamis Juma. Nutarudi na taarifa ndefu kumhusu Jaji huyo nikimaliza kesi hapa,ila uteuzi wake tangu alipoteuliwa ba ****** kuwa mwenyekiti tume ya kurekebisha sheria,na baadaye. ujaji ulitokana na jinsi alivyombeba Riz1 wakati akiwa mkuu wa Kitivo cha Sheria