Jaji aliyetoa Hukumu kesi ya Mpendazoe amekuwa Jaji wa Rufaa

Acheni hayo nchi haijengwi kwa majungu, huyu Jaji ana uwezo mkubwa na ni Proffessor, kwani kikwete kampa U proffessor? Kuhusu Ridhwani hakufeli mnaongea sana bila kuwa na ushahidi. Tukae chini tujenge nchi, maneno ya ajabu tuache. Kuhusu kesi ya Mpendazoe mmesoma hukumu? au mnaongea tu? Wakili wake alishindwa hata kukata rufaa kwa kukosa sababu. Huyu Prof. Na adumu milele mungu amjalie sana sana.
 
Who is Mpendazoe jamani? Huyu Jaji ni Makini, kesi ya Mpendazoe mmeisoma? Ushahidi ule hata wakili wake alishindwa apeleke vipi kesi Mahakama ya rufaa. Ulijaa hearsay evidence na uzushi. Eti Makongoro alikamatwa na masanduku ya kura na kufikishwa kituo cha polisi buguruni. Mkuu wa kituo akaja wa wakati huo na kusema hakukuwa na ripoti hiyo. Mashahidi wengine wanasema maboksi ya kura yalikuwa kumi, wengine kumi na mbili wengine tisa-inconsistency-nani anaweza kukupa jimbo kwa ushahidi wa kizushi? Jaji huyu ni Proffessor, je kapewa uproffessor na Kikwete? kasoma nje ya nchi na ni Mkufunzi na Jaji aliebobea. Ana sifa zote za kuwa Jaji wa Mahakama ya rufaa. Je Mahakama yetu ina Majaji wenye elimu yake wangapi? nchi hii haitaendelea kwa majungu fitna na uzushi. Swala la Riz1 halina ushahidi wowote maana uwezo wake si wa kufeli ana uwezo mzuri tu na hata Mahakamani anajielekeza ipasavyo kwa wanaomjua vizuri acheni majungu tufanye kazi tujenge taifa hili. Mungu ambariki sana Jaji huyu mtenda Haki.
 
Who is Mpendazoe jamani? Huyu Jaji ni Makini, kesi ya Mpendazoe mmeisoma? Ushahidi ule hata wakili wake alishindwa apeleke vipi kesi Mahakama ya rufaa. Ulijaa hearsay evidence na uzushi. Eti Makongoro alikamatwa na masanduku ya kura na kufikishwa kituo cha polisi buguruni. Mkuu wa kituo akaja wa wakati huo na kusema hakukuwa na ripoti hiyo. Mashahidi wengine wanasema maboksi ya kura yalikuwa kumi, wengine kumi na mbili wengine tisa-inconsistency-nani anaweza kukupa jimbo kwa ushahidi wa kizushi? Jaji huyu ni Proffessor, je kapewa uproffessor na Kikwete? kasoma nje ya nchi na ni Mkufunzi na Jaji aliebobea. Ana sifa zote za kuwa Jaji wa Mahakama ya rufaa. Je Mahakama yetu ina Majaji wenye elimu yake wangapi? nchi hii haitaendelea kwa majungu fitna na uzushi. Swala la Riz1 halina ushahidi wowote maana uwezo wake si wa kufeli ana uwezo mzuri tu na hata Mahakamani anajielekeza ipasavyo kwa wanaomjua vizuri acheni majungu tufanye kazi tujenge taifa hili. Mungu ambariki sana Jaji huyu mtenda Haki.
 
Wakuu,nimetoka nimetoka Mahakamani sasa na ninaomba niendelee,

Kiufupi sina shaka mimi kama mwanasheria na credentials za Jaji Juma. Kilichotokea ni
hiki,Riz1akiwa mwaka wa pili akisoma LL.B pale UDSM (nilikuwa naye darasa moja) mambo yalimuelemea sana na hivyo akachezeshwa disco. Wakati huo Dr. Ibrahim Hamis Juma (sasa Prof. I.H. Juma) ndiye aliyekuwa mkuu wa Kitivo cha Sheria. Ilibidi afanye analoweza kuwezesha Riz arudi shule na hatimaye alirudishwa kuendelea na shule akaingia mwaka wa 3. Ikumbukwe tu kipindi hicho Baba Mwanaasha alikuwa Wizara inayoongozwa na Membe kwa sasa.Mara tu baada ya mzee kukamata nchi katika kulipa fadhila kwa yaliyofanywa kwa kijana wake,Baba Mwanaasha akamteua Dr. I.H. Juma kuwa mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria (na mpaka ninapoandika haya bado anashikilia cheo hicho). Haikupita muda mrefu,fadhila zikaendelea kulipwa zaidi akateuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu. Sasa nadhani mkuu ameona amalizie alichokiahidi kwa kumteua kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufaa kabla ya kipindi chake cha pili hakijaisha.

Mapendekezo:

Kwa lengo la kuepuka favouratism inayofanywa kwenye nafasi nyeti kama hii nashauri tufuate utaratibu wa kupata Majaji kama ambavyo jirani zetu Kenya wanafanya.Nafasi hizi ziwe zinatangazwa kuruhusu wanaodhani wanasifa waombe na kufanyiwa public interviews,itatusaidia kama nchi kujua kuwa mhimili ambao ni kimbilio la wanyonge kwenye kutafuta haki uko kwenye watu wenye mikono safi
ChiefmTz atarudishwa mtu aliye disco? Mtu ana disco kabla baraza la senate kupitisha matokeo. Utaratibu uko UDSM, matokeo yanajulikana kabla ya kupitishwa academic committee, Baraza la Senate? Haingii akili ikiwa vikao vyote hivi vimepitia matokeo halafu Mtu mmoja, Mkuu wa kitivo atengue.
 
ChiefmTz atarudishwa mtu aliye disco? Mtu ana disco kabla baraza la senate kupitisha matokeo. Utaratibu uko UDSM, matokeo yanajulikana kabla ya kupitishwa academic committee, Baraza la Senate? Haingii akili ikiwa vikao vyote hivi vimepitia matokeo halafu Mtu mmoja, Mkuu wa kitivo atengue.

Huyu Jamaa alieanzisha hii topic ana chuki binafsi tu na wala hazitamsaidia.....Atoe hoja zenye kuelimisha si hizi za kufuatilia maisha ya watu.....Hata kama ingekuwa majina yanapelekwa bungeni Jaji Juma angetoka kidedea ni Makini sana Jaji huyu na kiwango chake cha maamuzi ya haki ni cha hali ya juuu. Soma maamuzi yake uone acha kuimbaimba tu....
 
Bwana Ujanjaujanja!!
Sitaki kukubali wala kupinga ulichosema kuhusu Riz1...sikuwepo, sijathibitisha
LAKINI NAOMBA NIKUELEZE MACHACHE KHS PROF I.H. JUMA ( JUDGE COURT OF APPEAL)...
Inasemekana ni judge pekee mwenye hadhi ya uprofesa TZ, amefundisha, amesimamia na anaijua haki..
Nafatilia sana fani ya sheria hapa Tz, inasemekana ni judge asiechelewesha kesi, na pekee yake kwa mwaka huu amehukumu nusu ya kesi zote Tz mzee, kwa mujibu wa dokezo kutoka source za kisheria
Nipo ktk research ya fani hii ....
 
Bwana Ujanjaujanja!!
Sitaki kukubali wala kupinga ulichosema kuhusu Riz1...sikuwepo, sijathibitisha
LAKINI NAOMBA NIKUELEZE MACHACHE KHS PROF I.H. JUMA ( JUDGE COURT OF APPEAL)...
Inasemekana ni judge pekee mwenye hadhi ya uprofesa TZ, amefundisha, amesimamia na anaijua haki..
Nafatilia sana fani ya sheria hapa Tz, inasemekana ni judge asiechelewesha kesi, na pekee yake kwa mwaka huu amehukumu nusu ya kesi zote Tz mzee, kwa mujibu wa dokezo kutoka source za kisheria
Nipo ktk research ya fani hii ....
 
Bwana Ujanjaujanja!!
Sitaki kukubali wala kupinga ulichosema kuhusu Riz1...sikuwepo, sijathibitisha
LAKINI NAOMBA NIKUELEZE MACHACHE KHS PROF I.H. JUMA ( JUDGE COURT OF APPEAL)...
Inasemekana ni judge pekee mwenye hadhi ya uprofesa TZ, amefundisha, amesimamia na anaijua haki..
Nafatilia sana fani ya sheria hapa Tz, inasemekana ni judge asiechelewesha kesi, na pekee yake kwa mwaka huu amehukumu nusu ya kesi zote Tz mzee, kwa mujibu wa dokezo kutoka source za kisheria
Nipo ktk research ya fani hii ....
 
Back
Top Bottom