Jairo scandal na waraka namba 3

naivasha

Member
May 13, 2011
94
29
Ndg wana jf poleni na pilikapilika.

Gazeti la mwananchi toleo na 04096 la tarehe 13 septemba 2011 lilitoa mpya juu ya kashfa ya jairo kwamba kuna waraka unaokataza uchangishaji wa fedha. Mwananchi limetaja waraka huu kuwa ni waraka na. 3 kumb. Na. Tyc/a/400/620/18 wa mwezi machi 2011.

Mi naomba mwana jf yeyote anitumie au auweke umu tuusome vema. Naamini kwa kinachoendelea watanzania tuna haki ya kujua. Kwa sababu viongozi wanaochangisha fedha kwa kazi zilizoko ndani ya bajeti siyo jairo peke yake. Ebu tujuzeni, tupeni mwanga tujue na tujadili.

Naamini hili ni jukwaa muafaka. Asanteni
 
Waraka unasema ni marufuku kuchangisha WANANCHI pasipo 1. wananchi wenyewe waridhie kwenye mkutano wa hadhara 2.makubaliano hayo ya uchangiaji upate kibali kutoka mamlaka yanayohusika..............................

lakini swala la Jairo si la kuchangisha WANANCHI ni kuchangisha taasisi ndani ya wizara ambalo ni swala la MHIMILI MMOJA WA DOLA ndani ya serikali............

Hivyo BUNGE letu lilitakiwa kujadili yatokanayo........then kushauri mapendekezo kwa Mhilili ambao Mwana Kondoo Jairo ni Boss wake............Na si kupinga Maamuzi ambayo MHIMILI MKUU umeyatoa bila kuangalia nani katoa.............Tusiwe doubleface waTZ..............serikali si MUCHEZO.....kuna mambo mengi ya kuumiza vichwa.......................

JAIRO arudishwe kazini.....................Mnaing'ang'ania hii mada kulikoni.................acheni wivu, uroho, husda..............wakati ukifika utapata na wewe...................kila kitu kimepangwa...........


Ndg wana jf poleni na pilikapilika.

Gazeti la mwananchi toleo na 04096 la tarehe 13 septemba 2011 lilitoa mpya juu ya kashfa ya jairo kwamba kuna waraka unaokataza uchangishaji wa fedha. Mwananchi limetaja waraka huu kuwa ni waraka na. 3 kumb. Na. Tyc/a/400/620/18 wa mwezi machi 2011.

Mi naomba mwana jf yeyote anitumie au auweke umu tuusome vema. Naamini kwa kinachoendelea watanzania tuna haki ya kujua. Kwa sababu viongozi wanaochangisha fedha kwa kazi zilizoko ndani ya bajeti siyo jairo peke yake. Ebu tujuzeni, tupeni mwanga tujue na tujadili.

Naamini hili ni jukwaa muafaka. Asanteni
 
saaaafi huku limezuka hili huku hili................na bado tho no action will be taken jamba jamba inamtosha
 
Waraka unasema ni marufuku kuchangisha WANANCHI pasipo 1. wananchi wenyewe waridhie kwenye mkutano wa hadhara 2.makubaliano hayo ya uchangiaji upate kibali kutoka mamlaka yanayohusika..............................

lakini swala la Jairo si la kuchangisha WANANCHI ni kuchangisha taasisi ndani ya wizara ambalo ni swala la MHIMILI MMOJA WA DOLA ndani ya serikali............

Hivyo BUNGE letu lilitakiwa kujadili yatokanayo........then kushauri mapendekezo kwa Mhilili ambao Mwana Kondoo Jairo ni Boss wake............Na si kupinga Maamuzi ambayo MHIMILI MKUU umeyatoa bila kuangalia nani katoa.............Tusiwe doubleface waTZ..............serikali si MUCHEZO.....kuna mambo mengi ya kuumiza vichwa.......................

JAIRO arudishwe kazini.....................Mnaing'ang'ania hii mada kulikoni.................acheni wivu, uroho, husda..............wakati ukifika utapata na wewe...................kila kitu kimepangwa...........

Sikutegemea kuna watanzania wapuuzi kiasi hiki. Wewe ni kati yao ambao, hata nchi ikiuzwa unaona sawa ili mradi unalamba makombo
 
Katika watanzania wenye mawazo potofu na fikra hasi wewe ni mmojawao
Waraka unasema ni marufuku kuchangisha WANANCHI pasipo 1. wananchi wenyewe waridhie kwenye mkutano wa hadhara 2.makubaliano hayo ya uchangiaji upate kibali kutoka mamlaka yanayohusika..............................

lakini swala la Jairo si la kuchangisha WANANCHI ni kuchangisha taasisi ndani ya wizara ambalo ni swala la MHIMILI MMOJA WA DOLA ndani ya serikali............

Hivyo BUNGE letu lilitakiwa kujadili yatokanayo........then kushauri mapendekezo kwa Mhilili ambao Mwana Kondoo Jairo ni Boss wake............Na si kupinga Maamuzi ambayo MHIMILI MKUU umeyatoa bila kuangalia nani katoa.............Tusiwe doubleface waTZ..............serikali si MUCHEZO.....kuna mambo mengi ya kuumiza vichwa.......................

JAIRO arudishwe kazini.....................Mnaing'ang'ania hii mada kulikoni.................acheni wivu, uroho, husda..............wakati ukifika utapata na wewe...................kila kitu kimepangwa...........
 
Mjini Chai katoa mawazo yake. Thats fine. Japo ameonekana hajui alisemalo.

Kwa kuwa msemakweli ni Waraka Na. 3 ni vema ukawekwa bayana ili pumba na chuya ikajulikana. Naamini tukiuona wengi tutakuwa na msingi wa kuchangia.

Tangu baadhi ya magazeti yaandike juu ya uwepo wa Waraka huo hakuna mamlaka yoyote iliyokanusha. Silence means what? Lkn tunajua kila Wizara ina bajeti yake kila mwaka na bajeti hiyo imejumuisha bajeti za kila idara. Sasa tupate msingi sasa wa wizara mama kuzichangisha taasisi zake. Pia tunafahamu mchakato wa bajeti unaanzia huko huko kwenye idara/taasisi za kila idara. Je, kuna kifungu katika idara/taasisi kinachoombewa fedha na kutengewa fedha kwa ajili ya kuichangia wizara au kuiwezesha bajeti yake kupita? Maswali ya kujiuliza ni mengi na watanzania wanahitaji majibu kulika shutuma. Hakuna mwenye wivu katika hili. Ebu tueleweshane.

Watanzania tufahamu kwamba mambo ya namna hii yanapoibuliwa kumekuwa na ujanja wa kuyafukia na hatimaye kutufumba macho na masikio watanzania. Ujanja wa siku zote umekuwa ni kuunda tume au kamati za uchunguzi. Naam, tume na kamati hizi zmara nyingi zinaelekezwa cha kufanya au kupewa adidu za rejea rather than Tume au Kamati kujiandalia zenyewe Adidu za Rejea kwani The subject matter inakuwa wazi. Hivyo, hata kama tume au kamati itafanya vema lkn endapo matokeo ya uchunguzi ni tofauti na na anavyotaka mkubwa basi taarifa itaishiwa kuwekewa viraka au itawekwa kwenye shubaka na ndo unakuwa mwisho wa kila kitu.

Hivyo, lazima ifike mahali watanzaania tuamke, kwanini masuala kama hayo ya kijinai yaundiwe tume wakati tuna vyombo vya dola vyenye mamlaka ya kisheria? Jambo la maana ni kuviagiza ili vichukue hatua. Lkn je mambo ya jina yanapoundiwa tume hatuoni kwamba ndo mwanzo wa kuvifumba macho vyombo vya dola? Asanteni sana wana JF.
 
Mjini Chai katoa mawazo yake. Thats fine. Japo ameonekana hajui alisemalo.

Kwa kuwa msemakweli ni Waraka Na. 3 ni vema ukawekwa bayana ili pumba na chuya ikajulikana. Naamini tukiuona wengi tutakuwa na msingi wa kuchangia.

Tangu baadhi ya magazeti yaandike juu ya uwepo wa Waraka huo hakuna mamlaka yoyote iliyokanusha. Silence means what? Lkn tunajua kila Wizara ina bajeti yake kila mwaka na bajeti hiyo imejumuisha bajeti za kila idara. Sasa tupate msingi sasa wa wizara mama kuzichangisha taasisi zake. Pia tunafahamu mchakato wa bajeti unaanzia huko huko kwenye idara/taasisi za kila idara. Je, kuna kifungu katika idara/taasisi kinachoombewa fedha na kutengewa fedha kwa ajili ya kuichangia wizara au kuiwezesha bajeti yake kupita? Maswali ya kujiuliza ni mengi na watanzania wanahitaji majibu kulika shutuma. Hakuna mwenye wivu katika hili. Ebu tueleweshane.

Watanzania tufahamu kwamba mambo ya namna hii yanapoibuliwa kumekuwa na ujanja wa kuyafukia na hatimaye kutufumba macho na masikio watanzania. Ujanja wa siku zote umekuwa ni kuunda tume au kamati za uchunguzi. Naam, tume na kamati hizi zmara nyingi zinaelekezwa cha kufanya au kupewa adidu za rejea rather than Tume au Kamati kujiandalia zenyewe Adidu za Rejea kwani The subject matter inakuwa wazi. Hivyo, hata kama tume au kamati itafanya vema lkn endapo matokeo ya uchunguzi ni tofauti na na anavyotaka mkubwa basi taarifa itaishiwa kuwekewa viraka au itawekwa kwenye shubaka na ndo unakuwa mwisho wa kila kitu.

Hivyo, lazima ifike mahali watanzaania tuamke, kwanini masuala kama hayo ya kijinai yaundiwe tume wakati tuna vyombo vya dola vyenye mamlaka ya kisheria? Jambo la maana ni kuviagiza ili vichukue hatua. Lkn je mambo ya jina yanapoundiwa tume hatuoni kwamba ndo mwanzo wa kuvifumba macho vyombo vya dola? Asanteni sana wana JF.
Uchambuzi wako ni sahihi kabisa na haya ndiyo madhara ya kuwa na katiba ambayo ni ya chama kimoja. Ni itikadi ya hicho chama iliyobatizwa na kuitwa Katiba ya nchi. Halafu kinachofuata ni Mkuu wa nchi anakuwa amelimbikiziwa madaraka ya kuchagua viongozi wote huwezi acha kuona mizengwe na mazingaombwe katika nchi.

Majirani zetu Kenya wamepiga hatua abayo sisi itatuchukua miaka 50 kufikia, kuthubutu kutangaza hadharani nafasi ya jaji Mkuu wa nchi na Makamu wake na watu waka-apply na kuchekechwa hadharani. Hii hatua si ndogo maana yule jaji atahakikisha analitumikia taifa na siyo Chama tawala wala Mkuu wa nchi na si waziri wala Katibu wa chama!

Mimi binafsi ninawapongeza sana.
 
Sikutegemea kuna watanzania wapuuzi kiasi hiki. Wewe ni kati yao ambao, hata nchi ikiuzwa unaona sawa ili mradi unalamba makombo

Ni uvivu wako wa kufikiri ndio unaokufanya kupayuka bila Tafakuri ya kina.............Rejea kwenye Mihimili mikuu ya Nchi Kazi zake, mipaka yake na mahusiano yake na mihimili mingine..............Una Mdomo 'MCHAFU'.........
 
Katika watanzania wenye mawazo potofu na fikra hasi wewe ni mmojawao

Hebu eleza mawazo pevu na fikra chanya tuyaone.......Tatizo la wengi wenu ni Bendera fuata upepo hamtafakari.............Je Wabunge wanayo haki ya kuingilia maamuzi ya Mhimili mwingine wa serikali?.............Je? ikitokea ukaambiwa kuwa ulikuwa ni mpango wa kuvunja Baraza la mawaziri ambao uliandaliwa na wasioitakia mema nchi yetu utasemaje?............... Si kila kitu kitamu mdomoni ni chakula kingine ni SUMU.......Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ni JF ni zaidi ya Forum nyingine...........think........ think...... think........
 
aWana JF, Kweli TECHMAN ana matatizo siyo utani! Lakini kabla ya kusaidiwe naye awe tayar kuupokea msaada vinginevyo ataendelea kulia aghhhhhhhhhh!. Anadai anatumia mavioo yake ya kuweka machoni. Mi kwa kumsaidia mavioo asiyaweke machoni atajipofusha bure!!!!!!!!!
 
Tuoneshwe waraka unasema nini tujadili kwa pamoja tuache mawazo ya MTZ huyu ambaye pengine kutokana na mtizamo wake anaona yeye ni suala la wivu, tusikatae mawazo yake, ila ipo siku na yeye atakubaliana na mawazo ya walio wengi katika nchi hii...Jairo bye bye hata nafasi ambayo JK alikuwa mpe ya kuwa Katibu Kiongozi imeota mbawa!

Mwenye waraka jamani auweke hapa tuuone maana wadanganyika sisi hatujui kitu ndiyo maana nikitokea twapiga kelele ikipita mwezi tumesahau makubwa sijui nani atatutoa humu
 
Wewe unayejiita baba yawezekana ulikuwa mmoja wa wale vbaraka waliopewa kazi ya kusukuma gari la rafiki yako jairo bila aibu na li suti lako naona unamachungu.
 
Sikutegemea kuna watanzania wapuuzi kiasi hiki. Wewe ni kati yao ambao, hata nchi ikiuzwa unaona sawa ili mradi unalamba makombo[/QUHa ha ha iv hukuwaona cku zle wamebinua misaburi yao wakmsukuma uyu kibaka basha wao
 
Hebu eleza mawazo pevu na fikra chanya tuyaone.......Tatizo la wengi wenu ni Bendera fuata upepo hamtafakari.............Je Wabunge wanayo haki ya kuingilia maamuzi ya Mhimili mwingine wa serikali?.............Je? ikitokea ukaambiwa kuwa ulikuwa ni mpango wa kuvunja Baraza la mawaziri ambao uliandaliwa na wasioitakia mema nchi yetu utasemaje?............... Si kila kitu kitamu mdomoni ni chakula kingine ni SUMU.......Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ni JF ni zaidi ya Forum nyingine...........think........ think...... think........

Mjini Chai, nina hakika unaweza kujifunza kufikiri kwanza kabla ya kuuliza maswali. Kati ya matatizo tuliyonayo katika nchi yetu ni, "yaliyopita si dwele, tugange yajayo". Na mmoja wa waumini wa hilo ni wewe. Inashangaza hata hujui kuwa ni Bunge ndilo hutunga sheria, ni Bunge hupitisha bajeti na ninadhani hujui kuwa ni Bunge linaweza kumwondoa Rais (mkuu wa nchi na serikali ya Tanzania).

Kama watu wanahoji Richmond/Dowans ya 2006, kwanini wasihoji jambo la 2011. Jambo kuu la topic ilikuwa ni kuweka jamvini barua husika. Sio kubishania uwepo wa mada hii wala mantiki ya mwandishi!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom