Ndg wana jf poleni na pilikapilika.
Gazeti la mwananchi toleo na 04096 la tarehe 13 septemba 2011 lilitoa mpya juu ya kashfa ya jairo kwamba kuna waraka unaokataza uchangishaji wa fedha. Mwananchi limetaja waraka huu kuwa ni waraka na. 3 kumb. Na. Tyc/a/400/620/18 wa mwezi machi 2011.
Mi naomba mwana jf yeyote anitumie au auweke umu tuusome vema. Naamini kwa kinachoendelea watanzania tuna haki ya kujua. Kwa sababu viongozi wanaochangisha fedha kwa kazi zilizoko ndani ya bajeti siyo jairo peke yake. Ebu tujuzeni, tupeni mwanga tujue na tujadili.
Naamini hili ni jukwaa muafaka. Asanteni
Gazeti la mwananchi toleo na 04096 la tarehe 13 septemba 2011 lilitoa mpya juu ya kashfa ya jairo kwamba kuna waraka unaokataza uchangishaji wa fedha. Mwananchi limetaja waraka huu kuwa ni waraka na. 3 kumb. Na. Tyc/a/400/620/18 wa mwezi machi 2011.
Mi naomba mwana jf yeyote anitumie au auweke umu tuusome vema. Naamini kwa kinachoendelea watanzania tuna haki ya kujua. Kwa sababu viongozi wanaochangisha fedha kwa kazi zilizoko ndani ya bajeti siyo jairo peke yake. Ebu tujuzeni, tupeni mwanga tujue na tujadili.
Naamini hili ni jukwaa muafaka. Asanteni