Kuna habari kwenye gazeti la Raiamwema la jana kuwa aliyekuwa katibu wizara ya Giza na migao kafunga ofisi(ya umma) na kuondoka na funguo kwa maelezo eti kuna vitu vyake vimekaa vibaya na eti yuko likizo tu hajafukuzwa kazi.
Nauliza utaratibu huu wa kuondoka na funguo za ofisi ya umma hata kama uko likizo au vitu vyako vimekaa vibaya umeaanza lini ?
Kuna taarifa kuwa aliwahi kufanya hivi pia huko nyuma alipohamishiwa ikulu mlango ikabidi uvunjwe.
Nauliza utaratibu huu wa kuondoka na funguo za ofisi ya umma hata kama uko likizo au vitu vyako vimekaa vibaya umeaanza lini ?
Kuna taarifa kuwa aliwahi kufanya hivi pia huko nyuma alipohamishiwa ikulu mlango ikabidi uvunjwe.