Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Funga maisha huyo mwizi Mponjoli.....
Hahahaha watasema "una hate...."!! Ukifukunyuafukunyua zaidi juu ya huyu bwana unaweza kupata bonge la kichefuchefu.....mie naweza kuunganisha dots mpaka nikampa kesi ya kichwa huyu 'ponjoli!!
Wala sio kuhate...Mponjoli alishafungwa jela USA kwa utapeli na hapa UK amefungwa kwa utapeli huo huo, anatakiwa akisha deportiwa akifika Tanzania apelekwe tena jela Segerea kwa kuidhalilisha Tanzania akiwa USA na UK. Hivi hakuna kipengele hicho kwenye katiba yetu..?
wewe bwana na wewe saa nyingine una sound kama wale wapiga ngoma za mchiriku unajua...ugggggggggh!....
Na ninasema tena Leave hima lone sema hujapata hiyo opportunity basi mnamshambulia....yeye mpojoli has to do what a man has to do kulisha familia yake he as a year to go na akitoka utamuona anadunda tuu mwenzio sasa hivi ana aprtment building kajenga bongo na anaingiza bado hela yake...na bado biashara zake zingine halali wewe jee?what do you have kukaa jf na kumuongelea yeyeye hahahaha that is a loose loose situation!...gadammit!..
watu mnamshupalia kaka wa watu kama pilipili bwana....you need to get a life this is gadam 2009./...wewe unadiscuss vitu vya mwaka 2007...hebu nendeni na wakati kudadake.
Kely,
Wape sure hawa. Ngoja nimalizie kula naja.
Sikonge,
Usisahau kisamvu!
REVEALED: Jailed Tanzanian car thief now linked to EPA scandal
-KEY SUSPECT COULD BE EXTRADITED TO TANZANIA WHEN HE FINISHES HIS SENTENCE
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
A TANZANIAN man jailed for his part in a multi-million pound car ringing operation in the UK has been linked to the 133bn/- external payment arrears (EPA) account scandal at the Bank of Tanzania, it has been revealed.
British police discovered Mponjoli Malakasuka's connection to the EPA scam while probing his finances.
...................................
..................................
.................................
British police stressed the investigation was in its early stages and it is not clear what links Malakasuka has to the EPA fraud.
However, some of the prominent EPA suspects in Dar es Salaam are known to have a penchant for fancy cars such as the popular UK-made Range Rover Vogue model.
...........................
...........................
...........................
In Tanzania, the Director of Criminal Investigations (DCI), Commissioner of Police Robert Manumba, has already announced plans for a nationwide crackdown on stolen vehicles
Nchi za wenzetu hawataki ujinga aiseePOlice wa UK nimesoma mahali mtandaoni kuwa wamefilisi mali zote alizowekeza Tanzania na UK. Chezea nchi ya watu wee..