Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,310
- 12,808
Kibonde na Gardner walikamilishana Sana, wale walikuwa marafiki ndani na nje ya Kazi....itachukua muda kuzoea jahazi bila kibsKuna mtu mmoja anatoka Power Breakfast pale ndio atakaeshika nafasi
Kibonde na Gardner walikamilishana Sana, wale walikuwa marafiki ndani na nje ya Kazi....itachukua muda kuzoea jahazi bila kibsKuna mtu mmoja anatoka Power Breakfast pale ndio atakaeshika nafasi
Mtu muongo na mjuaji sana hafai
Aise pengo la kibs halizibiki kwa namna yoyotembinguni hakuna beer..
Ndio maana tupo hapa tunakunywa beer
Hata siku ya kuondoka kwako pia..
Rafiki zako tutakunywa zako beer
Daah kibonde we miss you brother!!
Atakuwa Barbara Hussein maana leo hakuwepo kwenye kipindi.Kuna mtu mmoja anatoka Power Breakfast pale ndio atakaeshika nafasi
Hata mimi nimehisi hivyo.Wasiwasi Mwabulango.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hawezi ata kidogo, kama ni mtu kutoka pb labda fredwa anaweza akajaribuAtakuwa Barbara Hussein maana leo hakuwepo kwenye kipindi.
Ngoja tusubiri tuone, mimi mwenyewe ni mpenzi wa Jahazi.Hawezi ata kidogo, kama ni mtu kutoka pb labda fredwa anaweza akajaribu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mule mule mkuu
Paul James Sweya ndo utatu mtukutu.
Mkuu, nilikuwa na hamu ya kusikia ni nani mrithi wa Kibs. Jahazi ni kipindi changu pendwa.Aisee kama ulikuwa unaisubiri. Namskiza Adam mchomvu hapa