Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very sadjumla ya watu sita wameza mmoja ameokolewa na boti ya dagaa maboti ya fery ila watano waliobak wameshaokotwa wawili wakiwa maiti na wamezikwa somanga waliobaki utafutaji unaendelea
Ni lile jahazi lililoondoka jana jioni?jumla ya watu sita wameza mmoja ameokolewa na boti ya dagaa maboti ya fery ila watano waliobak wameshaokotwa wawili wakiwa maiti na wamezikwa somanga waliobaki utafutaji unaendelea
Kama walivyoigomea Chanjo ndivyo walivyoyagomea Maboya.jumla ya watu sita wameza mmoja ameokolewa na boti ya dagaa maboti ya fery ila watano waliobak wameshaokotwa wawili wakiwa maiti na wamezikwa somanga waliobaki utafutaji unaendelea
hio iliondokea bandari ya jibondo kabla ya kuondoka kuna jamaa walimpakia alikuwa mgonjwa walikuwa wanampeleka kwao kilwa kabla jahazi kuondoka yule mgonjwa alifariki akiwa ndani ya jahazi kosa walofanya wakashusha maiti maiti ikachukuliwa ikazikwa siku pili wao baada kushusha maiti waliondoka usiku ule ule usiulize kitutia na nyuniNi lile jahazi lililoondoka jana jioni?
Wafu huwa hawatendwi sijui kwanini wanakuwa na nguvu kiasi hikihio iliondokea bandari ya jibondo kabla ya kuondoka kuna jamaa walimpakia alikuwa mgonjwa walikuwa wanampeleka kwao kilwa kabla jahazi kuondoka yule mgonjwa alifariki akiwa ndani ya jahazi kosa walofanya wakashusha maiti maiti ikachukuliwa ikazikwa siku pili wao baada kushusha maiti waliondoka usiku ule ule usiulize kitutia na nyuni
Wewe utakuwa mmoja wao, mnaambiwa wekeni maboya kwenye majahazi yenu hamtaki, eti mnajua kuogelea!naona umezoea kukalia nanga yanakutoka mavi tu
Kitutia hapo ni balaa Naikumbuka jahazi yangu Mv Ikoiko kipindi hichohio iliondokea bandari ya jibondo kabla ya kuondoka kuna jamaa walimpakia alikuwa mgonjwa walikuwa wanampeleka kwao kilwa kabla jahazi kuondoka yule mgonjwa alifariki akiwa ndani ya jahazi kosa walofanya wakashusha maiti maiti ikachukuliwa ikazikwa siku pili wao baada kushusha maiti waliondoka usiku ule ule usiulize kitutia na nyuni
mshaanza mambo yenu ya code.hio iliondokea bandari ya jibondo kabla ya kuondoka kuna jamaa walimpakia alikuwa mgonjwa walikuwa wanampeleka kwao kilwa kabla jahazi kuondoka yule mgonjwa alifariki akiwa ndani ya jahazi kosa walofanya wakashusha maiti maiti ikachukuliwa ikazikwa siku pili wao baada kushusha maiti waliondoka usiku ule ule usiulize kitutia na nyuni
Maiti inahusiana vipi na jahazi kuzama?hio iliondokea bandari ya jibondo kabla ya kuondoka kuna jamaa walimpakia alikuwa mgonjwa walikuwa wanampeleka kwao kilwa kabla jahazi kuondoka yule mgonjwa alifariki akiwa ndani ya jahazi kosa walofanya wakashusha maiti maiti ikachukuliwa ikazikwa siku pili wao baada kushusha maiti waliondoka usiku ule ule usiulize kitutia na nyuni