adam junior93
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 205
- 252
- Thread starter
- #21
Jafo anatufaa sana....2025 tegemea hawa wawili.
Jafo
Majaliwa.
Majaliwa hana utofauti na Magu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jafo anatufaa sana....2025 tegemea hawa wawili.
Jafo
Majaliwa.
Jafo anatufaa sana....
Majaliwa hana utofauti na Magu.
Acha ujinga wewe kuwapiga mashine wote ucku mzima hawezi ni wananchi 50m kila mtu na akili yake zaidi ya mtutu wa bunduki hao wasee. ..Ameweza kuwamudu wake hao wanne hawezi kushindwa wananchi m 45,
Acha ujinga wewe kuwapiga mashine wote ucku mzima hawezi ni wananchi 50m kila mtu na akili yake zaidi ya mtutu wa bunduki hao wasee. ..
Sent from my SM-E500H using JamiiForums mobile app
Ana weza ila hatuwezi kuwa na first lady 4.haaaKwenu wasomaji...
Nimefuatilia mara kadhaa hotuba za Mh Jafo katika hadhara na mbalimbali na nimeona ni mtu sahihi anayetufaa kwa Uraisi ili tuweze kutoka hapa tulipo kwenda kwingine....
Anapanga hoja zake,na pia anatenda majukumu yake kulingana na katiba ya nchi.
Ntasimama nawe Jafo.
#Jafo_4_@Presedency-2020
Itakuwa mara ya kwanza! Mtu uriIki na mke mmoja mpaka wananne tena bado kijana? Alafu wote uwapeleke ikulu? Duh! Mwinyi/Kikwete si ni waislam na walikuwa na uwezo wa wake 4 hawakufanya hivyo? Hilo la wake 4 alafu upewe nchi atasubiri saana!Akawe raisi wa hao wake zake wanne
Kwenda zako usituletee udini na bangi zako! Kumiliki wake ndo kipimo cha kuendesha nchi? Chizi weweAmeweza kuwamudu wake hao wanne hawezi kushindwa wananchi m 45,
Kisarawe hakuna maji,barabara zote mbovu,mazingira hata ya kazi ni basi tu na ndio mbunge sasa awe raisi kwa lipiKwenu wasomaji...
Nimefuatilia mara kadhaa hotuba za Mh Jafo katika hadhara na mbalimbali na nimeona ni mtu sahihi anayetufaa kwa Uraisi ili tuweze kutoka hapa tulipo kwenda kwingine....
Anapanga hoja zake,na pia anatenda majukumu yake kulingana na katiba ya nchi.
Ntasimama nawe Jafo.
#Jafo_4_@Presedency-2020
Wewe mtengenezee tu shoti unafikiri unampenda kumbe unamchongea,Kwenu wasomaji...
Nimefuatilia mara kadhaa hotuba za Mh Jafo katika hadhara na mbalimbali na nimeona ni mtu sahihi anayetufaa kwa Uraisi ili tuweze kutoka hapa tulipo kwenda kwingine....
Anapanga hoja zake,na pia anatenda majukumu yake kulingana na katiba ya nchi.
Ntasimama nawe Jafo.
#Jafo_4_@Presedency-2020
Naona tz kiti cha urais mnakichukulia poa sana ile ni nafasi isiyotaka majaribu na ni kazi ngum jamani mbona mnaichukulia poa aya bwana ujumbe wako tumeuona na kuusoma mkuuKwenu wasomaji...
Nimefuatilia mara kadhaa hotuba za Mh Jafo katika hadhara na mbalimbali na nimeona ni mtu sahihi anayetufaa kwa Uraisi ili tuweze kutoka hapa tulipo kwenda kwingine....
Anapanga hoja zake,na pia anatenda majukumu yake kulingana na katiba ya nchi.
Ntasimama nawe Jafo.
#Jafo_4_@Presedency-2020
Rais wa awamu ijayo hawezi kutokana na genge la Serikali katili na kandamizi ya Awamu ya 5.Kwenu wasomaji...
Nimefuatilia mara kadhaa hotuba za Mh Jafo katika hadhara na mbalimbali na nimeona ni mtu sahihi anayetufaa kwa Uraisi ili tuweze kutoka hapa tulipo kwenda kwingine....
Anapanga hoja zake,na pia anatenda majukumu yake kulingana na katiba ya nchi.
Ntasimama nawe Jafo.
#Jafo_4_@Presedency-2020
Kwenu wasomaji...
Nimefuatilia mara kadhaa hotuba za Mh Jafo katika hadhara na mbalimbali na nimeona ni mtu sahihi anayetufaa kwa Uraisi ili tuweze kutoka hapa tulipo kwenda kwingine....
Anapanga hoja zake,na pia anatenda majukumu yake kulingana na katiba ya nchi.
Ntasimama nawe Jafo.
#Jafo_4_@Presedency-2020
Urais huwezi kuwa na complete package....Bado anapwaya sana! To me it is a big NO!
Bwana Mkubwa ndio anampenda balaa. Ila bora Hussein MwinyiHaka kajamaa sikapendii. Kanajipendekeza kiwango cha kujidhalilisha.
Jiwe akirogwa tu akapitishe atajamba cheche.
Katamgeuka kinyonga akasome.