adam junior93
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 205
- 252
Kwenu wasomaji...
Nimefuatilia mara kadhaa hotuba za Mh Jafo katika hadhara na mbalimbali na nimeona ni mtu sahihi anayetufaa kwa Uraisi ili tuweze kutoka hapa tulipo kwenda kwingine....
Anapanga hoja zake,na pia anatenda majukumu yake kulingana na katiba ya nchi.
Ntasimama nawe Jafo.
#Jafo_4_@Presedency-2020
Nimefuatilia mara kadhaa hotuba za Mh Jafo katika hadhara na mbalimbali na nimeona ni mtu sahihi anayetufaa kwa Uraisi ili tuweze kutoka hapa tulipo kwenda kwingine....
Anapanga hoja zake,na pia anatenda majukumu yake kulingana na katiba ya nchi.
Ntasimama nawe Jafo.
#Jafo_4_@Presedency-2020