Jaffo unasimama mbele ya camera kabisa unasema nchi yetu haina madarasa, watoto wetu hawajapangiwa shule

kina lowassa walipambana kuhakikisha kila mtoto wa kitanzania anapata elimu ya sekondari,walijenga shule kila kata ili watoto wapate nafasi ya kuendelea kupata elimu,awamu yenyewe ina vipaumbele vyake,sio elimu,elimu imeachwa ijiendee yenyewe hakuna wa kujali,matokeo yake ni kutengeneza wahalifu wengi na wajinga wasioweza kupambana kuondoa umasikini katika jamii
Hata sasa hivi shule bado zinajengwa naona kinachokosekana ni utashi wa kutosha kwakua inawezekana watoto wa watu wenye maamuzi hawasomi hizo shule hivyo hawana uchungu nazo. Hapa inapaswa kila halmashauri ionyeshe mpango kazi wa kuondoa tatizo la ukosefu wa madarasa, nyumba za waalimu, vyoo, mshahara n.k na ifatiliwe kwa karibu na hatua zichukuliwe pale inapobidi. Ifanyike km kipindi cha Lowassa au kipindi cha JPM kwenye madawati hii itasaidia sana.
 
Viongozi hawajui hata wanataka nini. Mtu kwa mfano halmashauri yake haina madarasa ya kutosha ila anaomba kibali cha kununua gari la milioni 460, anapewa harafu anakuja kutumbuliwa baada ya eti Rais kupata taarifa

Inaonekana elimu kwetu sio kipaumbele. Hata tukiwaforce halmashauri kujenga madarasa, unaweza kukuta mwisho wa siku hakuna matundu ya vyoo, hakuna maabara, hakuna reagents na most importantly hakuna waalimu
Kumbuka,
Wizara anayo iongoza Jafo iko ofisi ya Raisi.
 

Attachments

  • 20201122_161633.jpg
    20201122_161633.jpg
    60.3 KB · Views: 1
  • 20201124_182411.jpg
    20201124_182411.jpg
    21.4 KB · Views: 1
Wananchi tuchangie jamani tuache longolongo serikali imetusave pakubwa sana hivyo ni vema tungajiongeza ili watoto wetu wapate pakusomea, ila naamini upigaji utakuwepo tuu.
 
Wananchi tuchangie jamani tuache longolongo serikali imetusave pakubwa sana hivyo ni vema tungajiongeza ili watoto wetu wapate pakusomea, ila naamini upigaji utakuwepo tuu.
Kuchangia kivipi? Waondoe Elimu bure watu walipe Ada itumike kujenga shule. Halafu shangaa hata kipindi elimu sio bure ukosefu wa madawati na madarasa ulikuwa pale pale.
Ni uzembe..serikali haijaamua kuwekeza kwenye elimu.
.
.
Mabilioni ya Mr. Kuku, Qnet na ile michango ya wananchi tetemeko la bukoba itumike kujenga madarasa.
 
Haiwezekani na haitokuja kuwezekana kutibu suala la upungufu wa Shule,Madarasa,madawati nk.kama hatuta control population.
Itakuwa ni akili ndogo sana kama leo hii tutapambana kujenga Madarasa ya kutosha wanafunzi waliopo bila kuzingatia mwakani wataingia wanafunzi wangapi shule, na tatizo linarudi palepale tena litazidi,maana population inakuwa maradufu kuliko muda uliopita...

Binafsi sikumuelewa Muheshimiwa Rais aliposisitiza watu waendelee kufyatua watoto kwa maana shule zipo na watasoma bure...kwa kweli sidhani kama alifanya research juu ya hili.

Na kinachosikitisha zaidi sioni wataalamu wa haya mambo wakitoa opinions zao kuhusu suala la mahusiano ya population na maendeleo kwa ujumla wake.
 
Sasa unabishana na waziri wa tami
Tunashindwa hata na Rwanda ambayo juzi tu hapa ilikua haina taasisi za serikali.
Yaani sisi ndio tukasome Rwanda jinsi ya kuwaondoa watoto wetu barabarani na kuepuka kujenga magereza.....
 
Huyo wa gari la million 400 sijui aliwaza nini wakat hata hard top toyota unatumia vizur tu mshahara mzur malupulupu kiboa unaenda kuhangaika na gar ambalo sio lako na utaliacha unaharibu kibarua chako kwa kweli mi nasema gar nzur sana ni toyota hard top kwa matumizi had uimara hapa hela za umma zingetumika vizur sana
Huu ni wivu tu, Polepole akiitangazia Dunia kwamba afisa wa ngazi ya wilaya na mkoa huko CCM na serikalini anatembelea Vieite. Sasa huyu kajiongeza kanunua V10 ili wa V8 waige maendeleo mnamuonea wivu!!!
 
Tanzania kuanzia juu had chini haina hata mpango wa maendeleo wa miaka 10 mbele, ni hivi kila rais aingiaye hufanya juud aibe pia aweke akiba muhura unapo kariba kuisha anaanza kutafuta swaiba yake ili amrindie mali zake. Kwakweli nchi hii ni kituko. Mfano mzur tu mkuu wanaye mtukuza eti ni wawanyonge jiulize angekua na nia ya dhati unaweza sema katiba si kipaumbele? Sasa anayoyaweka yote sijui mahakama ya mafisad sijui nn vitaishia wapi baada ya yy kuondoka. Inafikirisha walianza mkakati wa shule za kata wakijua baada ya miaka mitano wataelemewa lakini baada ya kufanya jitiada za kujiweka sawa kukabiriana na mzigo wao wapo biz kuiba kura n.k inaumiza sana
 
Mnazaliana Kama simbilisi, hayo madarasa ya kuwatosha yatakuwa yanaota Kama uyoga Kila mwaka? Mnafikiri huko ulaya na China Kuna ongezeko la wanafunzi " geometrically" Kama nyie?
 
Mnazaliana Kama simbilisi, hayo madarasa ya kuwatosha yatakuwa yanaota Kama uyoga Kila mwaka? Mnafikiri huko ulaya na China Kuna ongezeko la wanafunzi " geometrically" Kama nyie?
Elimu ni bure


Hapa nchin kwetu
 
Wapange shift mbili tu wengine waingie asubuhi wengine mchana.Pia wanaongeza posho kwa walimu basi Tatizo linakwisha.
 
Miaka 59 baada yauhuru! ,Tunawasomi full hadi tunakosa madarasa, kunahaja yakuangalia upya suala lavipaumbele ,inashangaza kuona V8 watu wananunua ila madarasa hadi selection zawatoto vitangazwe ndo tunaonja kua ni muhimu.
V8 ni tone la bahari ya wahujumu uchumi wa Tz au wanasiasa. Mshahara wao kiasi gani? Kila baada ya miaka 5 mwanasiasa anapewa pesa kiasi gani?
 
Back
Top Bottom