Jaffo unasimama mbele ya camera kabisa unasema nchi yetu haina madarasa, watoto wetu hawajapangiwa shule

Pain killer

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
14,153
21,293
Nchi yetu Ni kubwa sanaa, suala la kusema hakuna madarasa ya kutosha Ni kukwamisha juhudi za mh raisi

Nchi yetu ni donor country haiwezi kukosa madarasa ya kuwafundishia watoto

Tuna ndege, tumejenga madaraja, fly over, train ya umeme, miradi mikubwa ya mabillion tumetekeleza

Hatuwezi kushindwa kujenga madarasa ,tafadhali katengue kauli yako, unatuangusha mh jaffo, unatikatisha tamaa

Unamaanisha nchi yetu imekwama kabisa kujenga madarasa

Aisee
 
Viongozi hawajui hata wanataka nini. Mtu kwa mfano halmashauri yake haina madarasa ya kutosha ila anaomba kibali cha kununua gari la milioni 460, anapewa harafu anakuja kutumbuliwa baada ya eti Rais kupata taarifa.

Inaonekana elimu kwetu sio kipaumbele. Hata tukiwaforce halmashauri kujenga madarasa, unaweza kukuta mwisho wa siku hakuna matundu ya vyoo, hakuna maabara, hakuna reagents na most importantly hakuna waalimu.
 
kuliko hao wanafunzi wakose elimu kisa hakuna vyumba vya madarasa ni bora wasomee chini ya miti na kukalia mawe na magogo kuliko wakose elimu
 
kuliko hao wanafunzi wakose elimu kisa hakuna vyumba vya madarasa ni bora wasomee chini ya miti na kukalia mawe na magogo kuliko wakose elimu
Nikisema tuuze ndege mbili tujenge madarasa MABEBERU mtasema ndege haziuziki kwani nyingi tu ziko grounded huko mabeberuni kwa kukosa wasafiri.

Nikisema tuache kwanza kujenga daraja la aga Khan Masaki mtasema kwani watoto waliokosa madarasa Ni wa vigogo?
Haya mtajua wenyewe.
 
Viongozi hawajui hata wanataka nini. Mtu kwa mfano halmashauri yake haina madarasa ya kutosha ila anaomba kibali cha kununua gari la milioni 460, anapewa harafu anakuja kutumbuliwa baada ya eti Rais kupata taarifa.

Inaonekana elimu kwetu sio kipaumbele. Hata tukiwaforce halmashauri kujenga madarasa, unaweza kukuta mwisho wa siku hakuna matundu ya vyoo, hakuna maabara, hakuna reagents na most importantly hakuna waalimu.
Huyo wa gari la million 400 sijui aliwaza nini wakat hata hard top toyota unatumia vizur tu mshahara mzur malupulupu kiboa unaenda kuhangaika na gar ambalo sio lako na utaliacha unaharibu kibarua chako kwa kweli mi nasema gar nzur sana ni toyota hard top kwa matumizi had uimara hapa hela za umma zingetumika vizur sana.
 
Miaka 59 baada yauhuru! ,Tunawasomi full hadi tunakosa madarasa, kunahaja yakuangalia upya suala lavipaumbele ,inashangaza kuona V8 watu wananunua ila madarasa hadi selection zawatoto vitangazwe ndo tunaonja kua ni muhimu ,
Kiroba kifupi. Kwa hiyo unataka makatibu wa CCM wa wilaya wakose kutembelea v8 zenye eisii ya kufa mtu na zinazotumia mafuta mengi kisa tu mtoto apate dawati?

Hii Ni kutojua priorities za nchi. Sasa wakienda kwenye mikutano wapande Suzuki? Hii kitu haiwezekani kabisa.
 
Kiroba kifupi. Kwa hiyo unataka makatibu wa CCM wa wilaya wakose kutembelea v8 zenye eisii ya kufa mtu na zinazotumia mafuta mengi kisa tu mtoto apate dawati?
Hii Ni kutojua priorities za nchi. Sasa wakienda kwenye mikutano wapande Suzuki? Hii kitu haiwezekani kabisa.
Nakuona mdau wamaendeleo 😂,kumbe suala n priorities
 
Huyo wa gari la million 400 sijui aliwaza nini wakat hata hard top toyota unatumia vizur tu mshahara mzur malupulupu kiboa unaenda kuhangaika na gar ambalo sio lako na utaliacha unaharibu kibarua chako kwa kweli mi nasema gar nzur sana ni toyota hard top kwa matumizi had uimara hapa hela za umma zingetumika vizur sana
Hivi weweunajua process ya kupitia kupata ruhusa ya kununua hilo Gari? Hakuna Mkurugenzi anaweza kufanya transaction ya 400M yeye mwenyewe. Unajua halmashauri na idarangapi nyingine zinayo magari ya aina hiyo na haijaonekana ni tatizo?Kuna mengine hii si bure.
 
Ubuni wa elimu kwa mtoto wa kitanzania ni sifuri,wanasiasa wanawaza kujazwa sifa mfu zisizo za kifalsafa katika elimu huenda wanawaza kujaza wanafunzi shule za binafsi
 
AnaZunguka sana kila mkoa lkn financial management control bado hajafanikiwa. Hii financial control loss itamg'oa maana upepo wake sio wa kitoto
 
Sidhani kama nchi kuwa Tajiri kwa Rasilimali basi ni Aibu kwa Mawaziri kuweka wazi Changamoto kadhaa. Hata huko kwa waliotutangulia zipo pia.
 
Kina Lowassa walipambana kuhakikisha kila mtoto wa kitanzania anapata elimu ya sekondari,walijenga shule kila kata ili watoto wapate nafasi ya kuendelea kupata elimu,awamu yenyewe ina vipaumbele vyake, sio elimu,elimu imeachwa ijiendee yenyewe hakuna wa kujali,matokeo yake ni kutengeneza wahalifu wengi na wajinga wasioweza kupambana kuondoa umasikini katika jamii.
 
Hivi weweunajua process ya kupitia kupata ruhusa ya kununua hilo Gari? Hakuna Mkurugenzi anaweza kufanya transaction ya 400M yeye mwenyewe. Unajua halmashauri na idarangapi nyingine zinayo magari ya aina hiyo na haijaonekana ni tatizo?Kuna mengine hii si bure.
Kunapaswa kua na muongozo wa jumla wa kununua magari ya serikali, magari ya ma RC, ma DC, ma RAS, ma DED, ma DG,ma waziri yote yawe ya aina moja na bei zake ziwe na vikomo. Mawaziri na manaibu wao vivyo hivyo, PM liwe la aina yake, VP la aina yake na P la aina yake.
 
Back
Top Bottom