Mkungwa Member Dec 27, 2016 20 5 Jan 3, 2017 #1 Ebu nisaidieni mawazo huenda kuna vitu amevifanya Mimi sijaviona naomba jicho la tatu linisaidie
K K.Msese JF-Expert Member Apr 1, 2012 2,385 3,010 Jan 3, 2017 #2 Nafsi aliyopewa inamlazimu aangalie taifa zima kwa mapana yake, kuliko jimbo lake! Na endapo ikitokea akapendelea kwao "kisarawe" bado tupo tutakao lalamika kuwa ni mbinafsi! Ngoja na wengine waje, ila muda bado upo mwingi mbele yake, kwa jamii ya "kisarawe" kumuhukumu!
Nafsi aliyopewa inamlazimu aangalie taifa zima kwa mapana yake, kuliko jimbo lake! Na endapo ikitokea akapendelea kwao "kisarawe" bado tupo tutakao lalamika kuwa ni mbinafsi! Ngoja na wengine waje, ila muda bado upo mwingi mbele yake, kwa jamii ya "kisarawe" kumuhukumu!
Mkungwa Member Dec 27, 2016 20 5 Jan 3, 2017 Thread starter #3 Kumbuka alishakuwa mbunge miaka mitano iliyopita