DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 193
- 83
Hao wanajuana wao kwa wao bwana hata kama ni kicheche nafikiri angetumia busara zaidi na kukaa kimya kuliko kuanza kuongelea ishu kama hizo tena public halafu kuzipeleka facebook na unaanza kumtrash mtu
Hao wanajuana wao kwa wao bwana hata kama ni kicheche nafikiri angetumia busara zaidi na kukaa kimya kuliko kuanza kuongelea ishu kama hizo tena public halafu kuzipeleka facebook na unaanza kumtrash mtu
Ha ha ha ha lol!!!!!!!!!!!!!Mkuu mie ukigombana na AD siingilii najua kila mchele unautamu wake wa mbeya na wa shinyanga unatofauti so siku mkikumbukana mtatuona sie hatuna maana maana utaanza ohh jamaa aliniambia we hufai so and so si unajua mtalaka hatongozi? anashikwa tu mkono...........
Huo ni ulimbukeni lizzy halafu Tiger is well known over the world na alikuja aka-confess natamani nisikie upande wa pili wa Shyrose na yeye anasemaje na pia upande wa MR 2 ila najua kwa status aliyonayo MR 2 hawezi kuanza kurushiana maneno na huyo dogoJamani hawa ndo maselebriti wetu!Mbona ya kina Tiger yalikua hot hot news?Mwacheni mshkaji aseme..kama walivyoanza watu walifuatilia..maendeleo wakafuatilia na sasa tamati hawawezi kuacha kufuatilia!
Hao wanajuana wao kwa wao bwana hata kama ni kicheche nafikiri angetumia busara zaidi na kukaa kimya kuliko kuanza kuongelea ishu kama hizo tena public halafu kuzipeleka facebook na unaanza kumtrash mtu
Na Jafarai is known all over Tz!Ngoja mama nae atakomfesi!Huo ni ulimbukeni lizzy halafu Tiger is well known over the world na alikuja aka-confess natamani nisikie upande wa pili wa Shyrose na yeye anasemaje na pia upande wa MR 2 ila najua kwa status aliyonayo MR 2 hawezi kuanza kurushiana maneno na huyo dogo