Personal issues. Hayo hayatuhusu
Leo Jaffaray yuko live kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds fm akisema kaachana na Shyrose Banji ni kutokana na kugundua kuwa amecheat na ana Uhusiano na Hon. JOSEPH MBILINYI.
Leo Jaffaray yuko live kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds fm akisema kaachana na Shyrose Banji ni kutokana na kugundua kuwa amecheat na ana Uhusiano na Hon. JOSEPH MBILINYI.
kwenye facebook page ya jaffarai inasema:
NIMEAMUA
KUACHANA NA ALIEKUA MPENZI
WANGU KWA TAKRIBAN MIAKA
8 SHYROSE BHANJI..
mdada anapenda wakufokafoka......akimaliza hapo anahamia kwa dudu baya? au chidi ? au Diamond?