Mwanzoni tulijua kuwa CCM Hawataki kwa kuhofia wanachama wengi wataondoka CCM na kugombea uongozi mbalimbali kwa bendera ya mgombea binafsi
Jinsi hivi vyama vinavyozidi kukua na mission zao kuendelea kujulikana kwa watu kuwa ni wahuni tu vinajianika
leo hii CHADEMA chama ambacho kilichojipambanua kina demokrasia wakati haionekani nacho HAKITAKI HATA KUSIKIA SWALA LA MGOMBEA BINAFSI
So nguvu na jitihada za mtikila za kuligombea hili kwa faida ya watanzania wengi wasio na vyama litapata ugumu kwani CCM na chadema wataungana katika hili
Kwa hali za kisiasa ndani ya vyama hivi, kupaka na kuzushia watu uongo leo hii vinahaha hiki kipengele kisipate nguvu
Nguvu ya umma, itaamua,
Tutakombolewa kutoka kwenye udhalimu wa vyama vya siasa
Mungu Ibariki Tanzania
Jinsi hivi vyama vinavyozidi kukua na mission zao kuendelea kujulikana kwa watu kuwa ni wahuni tu vinajianika
leo hii CHADEMA chama ambacho kilichojipambanua kina demokrasia wakati haionekani nacho HAKITAKI HATA KUSIKIA SWALA LA MGOMBEA BINAFSI
So nguvu na jitihada za mtikila za kuligombea hili kwa faida ya watanzania wengi wasio na vyama litapata ugumu kwani CCM na chadema wataungana katika hili
Kwa hali za kisiasa ndani ya vyama hivi, kupaka na kuzushia watu uongo leo hii vinahaha hiki kipengele kisipate nguvu
Nguvu ya umma, itaamua,
Tutakombolewa kutoka kwenye udhalimu wa vyama vya siasa
Mungu Ibariki Tanzania