medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,323
- 1,287
Muda mwingine kuzaa sio kupata.
Baba mtoto pia ana viashiria vingi vya hiyo tabia Kwahiyo ni kama like fazaMuda mwingine kuzaa sio kupata.
Baba mtoto hapana.Baba mtoto pia ana viashiria vingi vya hiyo tabia Kwahiyo ni kama like faza
Will Smith kumbe naye hamna kitu? Basi familia ipo kwenye hasara.Baba mtoto pia ana viashiria vingi vya hiyo tabia Kwahiyo ni kama like faza
Ok ila huko nyuma aliwahi kutuhumiwa.... NimekulewaBaba mtoto hapana.
Miezi minne au mitatu nyuma kuna mwanaume alimkimbilia na kumbusu akampiga. Baadaye ikabidi aombe msamaha kwa jamii ya LGBT kwakua alimpiga mwenzao.
HakikaMuda mwingine kuzaa sio kupata.
kumpiga tu ndo inathibitisha? je kama hataki iwe hadharani?Baba mtoto hapana.
Miezi minne au mitatu nyuma kuna mwanaume alimkimbilia na kumbusu akampiga. Baadaye ikabidi aombe msamaha kwa jamii ya LGBT kwakua alimpiga mwenzao.
Ifute tuu, mi naenda kuitupa kabisa!...sijui Jack Chan anajisikiaje?..Naifuta karate kid kwenye movie nazozikubali zaidi duniani
THEN YOU CAN SEE IT IS NATURAL TO BE GAY.Hichi kijamaa nilianza kukistukia kwenye movie ya Karate Kid...kilikuwa kina mambo ya kike kike mnoo
Bado mdogo wake Willow nae ni msagaji, Jada atalia na kusaga meno daaah!
hahahaaaWanaudhu billahi min dhaalika . Rabbi jaalna husnu lkhatima