Jacqueline Wolper: Naapa kutokumuacha salama Baba P endapo atazingua

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Aug 30, 2021
630
1,245
Staa wa filamu Bongo Jacqueline Wolper anasema hawezi kumuacha salama mpenzi wake Rich Mitindo 'Baba P' kama atamuumiza na kumpiga matukio kwenye mahusiano.

Jacqueline Wolper ameongeza kusema endapo Rich Mitindo akimzingua hataweza kumvumilia, atatoa taarifa kwa kinachoendelea kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii kama Snapchat, WhatsApp status na Instagram.

images (1).jpeg
 
Staa wa filamu Bongo Jacqueline Wolper anasema hawezi kumuacha salama mpenzi wake Rich Mitindo 'Baba P' kama atamuumiza na kumpiga matukio kwenye mahusiano.

Jacqueline Wolper ameongeza kusema endapo Rich Mitindo akimzingua hataweza kumvumilia, atatoa taarifa kwa kinachoendelea kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamii kama Snapchat, WhatsApp status na Instagram.

Hiki kizee hakina soko kimebaki kujisifia tu
 
Back
Top Bottom