Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi (K-Lynn) aomba marejeo ya kesi yake ya mirathi dhidi ya Watoto wa Mengi

Haha Ukute watoto wa Mengi wanamnyima Kyln hela ili kumkomoa, labda wanampa vihela vya kula tu...ukute kyln akiuliza vipi, anaambiwa kampuni zote zimepata hasara cariha
Acha wamnyime hela ni ngumu, kwanza aliwadhalilisha ku Post mambo ya mzee na vi drama vya kiki ka kina diamond, halafu hakumu care vizuri huyo mzee, she was after money, unfortunately hakuwa smart kufanya mambo ya maendeleo yeye alitegemea miradhi.
 
Jaman nyege zinatesa nyie hasa ukishakua 40s pengine dada watu alikua anashindwa kunyanduliwa hapa kutokana na umaarufu wake ikabid atafute safar ili iwe rahis..mie namsifu yule dada ooh! Kwanza hata hiyo nahis alifanyakaz sana kuitegesha..maana hadi mshidodo uje usimame hlf apate hizo nguvu za kuzungusha kiuno mchezo??
angenunua hata dildo mengi naye alizingua klyn alikuwa mbichi sasa cheating zake kwanini zisimuue, pia alikuwa anahitaji care kubwa sasa kylin alikuwa hana mda, kina Regina ingebidi wafanye rescue mapema aisee.
 
Huyu Mjane atendewe Haki.

Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!

Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!

Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.

lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana
Mbona haki inatendekeka. Maamuzi yalikuwa ya mahakama, na hata sasa ni mahakama ndiyo imepokea tena rufaa.

Au ili haki itendeke ilipaswa iweje? Halafu, ni kweli Jack amenyang'anywa kila kitu? Amebaki hana mbele wala nyuma kama inavyofanyika kwa wajane wengine kwenye familia zetu?

Kweli amefanyiwa hayo? Au huko kunyimwa kusimamia mirathi ndiyo shida?
 
huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Sawa K-Lyn
 
Huyu Mjane atendewe Haki.

Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!

Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!

Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.

lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana
Haki ipi, unajua sheria za mirathi, mtu aligushi sahihi unataka apewe haki ipi?!!.. Haya Mambo yapo Tanzania tu!!
 
huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Kuwa na Watoto hakukufanyi ufoji sahihi za marehemu!!....
 
kwa hiyo ndio maana wamebatilisha Wosia wa marehemu?!
hiyo sio haki, maana wosia aliutoa marehemu na yeye alikuwa anajua fika kwa nini aliamua kufanya hivyo, kwa sababu tayari walishapata share yao.
Mahakama lazima iangalie huyu mjane anavyo nyanyasika kisa eti hakuchuma mali na marehemu.
kila siku tunalalamika kuwa wajane wanyanyaswa na ndugu wa marehemu, sasa hebu tazameni Jackline Mengi anavyo taabishwa na kuyumbishwa.
huu ni unyanyasaji
Mahakama imtendee Haki huyu mjane.
Unajua Hadi umauti unamkuta Mzee machache alikuwa ana share kiasi gani?!!.. Hata wakimpa shares zote huyu Dada za Mengi bado hatoridhika!!..

Alikosea kugushi sahihi na Mengi hakua na Fedha nyingi hivyo kama huyu Mdada anavyodhani!!.. Mali ni za watoto kwasababu mke mkubwa aliwaachia Mali zake zote kwahiyo ukienda kwenye majumuisho Mengi ana shares Ndogo sana!!..

Sasa Sheria inataka Mali za Mengi siyo IPP ukigawanya hapo bi Dada Bora aendelee kudanga
 
Imtendee Haki kwajasho lipi lililomtoka kwa iyo Mali anaopigania.

Uyo mwanamke Ni mbinafsi tu, Hana lolote.

Angekua timamu,
Angekua wa kwanza kubatilisha usia was mengi angalau awakumbuke na watotowake wengine.

Sio eti vile vipacha vyake TU vibebe kila kitu.
Kaweka kama mtaji vile vitukuu maskini,mzee ntamsifu kwa uungwana wake mengine tuwaachie watoto wakubwa wanaweza kumpiga kwata huyo Jack akaomba poo.ngoja tu
 
huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Kwamba watoto amerehemu aliowakuta wapewe buku ? (Tsh 1000) . huo wosia ndiyo uheshimiwe, you're not serious mkuu😀
 
Ila Mengi naweza sema hakufikiria vyema kabisa. Kama kweli alidhamiria kumuachia Jacky na wanae wadogo mali angewamilikisha kisheria kabla hajafa.

Huwezi kuniambia na akili zake zote za biashara alishindwa ku-foresee hizi drama. Amemtakia matatizo tu huyu binti.

Mzee Mengi aliamua kumkomesha kisomi,inawezekana kabisa hapo mwishoni huko ndani hali haikuwa shwari kama ambavyo bibie alitaka kutuaminisha mitandaoni.

Naamini Mzee alifanya makusudi akiwa na uhakika Watoto wale wadogo guarantee ya maisha wanayo tayari kutoka kwa ndugu zao Wakubwa.Regina na Abdiel hawana dhiki kiasi cha kuwanyanyasa wale Twins.Huu mtanange ni wa Mjane peke yake.
 
Nilisikia wanasema amehamia Dubai.
Sasa kama hatulii hapa home yuko Dubai akipewa mali zile si atauza atokomee??
Wakati Mwingine hatunaga mawazo mazuri hapa wanaofaidi ni Wanasheria..Watakunyonya japo Visenti vidogo ulivyo navyo.

Mahusiano yako na Familia hiyo yatakua mabaya zaidi na mtaishia kuwindana sasa bila sababu..Katika Maisha sio kila vita utashinda...
Zingine ziache kubali kupoteza kwa malengo ya mbele..
 
Back
Top Bottom