binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,896
- 22,266
Ukiona hivyo hakutaka.... Kwanini hakutaka mimi na wewe hatujui. Ila naamini kabisa kuna vipo alivyopewa ambavyo havihusu hii familia nyingine.Ila Mengi naweza sema hakufikiria vyema kabisa. Kama kweli alidhamiria kumuachia Jacky na wanae wadogo mali angewamilikisha kisheria kabla hajafa.
Huwezi kuniambia na akili zake zote za biashara alishindwa ku-foresee hizi drama. Amemtakia matatizo tu huyu binti.