Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi (K-Lynn) aomba marejeo ya kesi yake ya mirathi dhidi ya Watoto wa Mengi

Ila Mengi naweza sema hakufikiria vyema kabisa. Kama kweli alidhamiria kumuachia Jacky na wanae wadogo mali angewamilikisha kisheria kabla hajafa.

Huwezi kuniambia na akili zake zote za biashara alishindwa ku-foresee hizi drama. Amemtakia matatizo tu huyu binti.
Ukiona hivyo hakutaka.... Kwanini hakutaka mimi na wewe hatujui. Ila naamini kabisa kuna vipo alivyopewa ambavyo havihusu hii familia nyingine.
 
Ukiona hivyo hakutaka.... Kwanini hakutaka mimi na wewe hatujui. Ila naamini kabisa kuna vipo alivyopewa ambavyo havihusu hii familia nyingine.

Vipo. Jack ana appartments nzuri sana makongo juu ghorofa safi kabisa.. na mpaka leo kodi anapokea jack.. nazani zingekuwa za familia nzima wangeshampora usimamizi wa hizo appartments jack
 
Salaam Wakuu,

Ile kesi iliyofunguliwa na Mjane wa Marehemu Ragnard Mengi, Jackline Mengi dhidi ya Mtoto wa Mengi na wenzake watano inataraji kuanza kusikilizwa katika mahakama ya rufaa mwishoni mwa mwezi huu.

Kesi hiyo ambayo ni marejeo namba 332/1/2021 iko mbele ya jopo la Majaji watatu wakiongozwa na Jaji Jacob Mwambegele.

Katika kesi ya marejeo Jackline Mengi anapinga maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyobatilisha wosia wa Regnard Mengi. Pia, Jackline anapinga uteuzi wa Benjamini Mengi na mwenzie kama wasimamizi wa mirathi ya marehemu Regnard Mengi.

PIA, SOMA: Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

View attachment 1933053
Why Marejeo(Review) ? si anaomba rufani?(appeal) au marejeo siyo review
 
Vipo. Jack ana appartments nzuri sana makongo juu ghorofa safi kabisa.. na mpaka leo kodi anapokea jack.. nazani zingekuwa za familia nzima wangeshampora usimamizi wa hizo appartments jack
Jacky amekua ni kama mwiba kwa familia ya mengi, ivi Abdiel na Regina wanashindwa hata kuajiri professional hitman kutoka Marekani, ammalize Jacky kwa mazingira itakayoonekana amekufa kifo cha kawaida, maana at the end, Nahis kwa tamaa alizonazo jack anaeza hata kudhuru watoto wakubwa wa Mengi FRESHMAN
 
huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Wosia ambao mdangaji ndie mrithi wa mali aliyoikuta imetengenezwa,akarithi kwa baba yake
 
kwa hiyo ndio maana wamebatilisha Wosia wa marehemu?!
hiyo sio haki, maana wosia aliutoa marehemu na yeye alikuwa anajua fika kwa nini aliamua kufanya hivyo, kwa sababu tayari walishapata share yao.
Mahakama lazima iangalie huyu mjane anavyo nyanyasika kisa eti hakuchuma mali na marehemu.
kila siku tunalalamika kuwa wajane wanyanyaswa na ndugu wa marehemu, sasa hebu tazameni Jackline Mengi anavyo taabishwa na kuyumbishwa.
huu ni unyanyasaji
Mahakama imtendee Haki huyu mjane.
Share yao wakati anawapa mlikuwepo? Haiingii akilini atoe urithi woooote kwa bi mdogo aache watoto wake wa ujanani bila sababu yoyote ntuyabaliwe angeacha tamaa akakaa vizuri na watoto wa marehemu mumewe
 
Tunatoana roho Yarabii kwa mali alizoacha baba!
Salaam Wakuu,

Ile kesi iliyofunguliwa na Mjane wa Marehemu Ragnard Mengi, Jackline Mengi dhidi ya Mtoto wa Mengi na wenzake watano inataraji kuanza kusikilizwa katika mahakama ya rufaa mwishoni mwa mwezi huu.

Kesi hiyo ambayo ni marejeo namba 332/1/2021 iko mbele ya jopo la Majaji watatu wakiongozwa na Jaji Jacob Mwambegele.

Katika kesi ya marejeo Jackline Mengi anapinga maamuzi ya Mahakama Kuu yaliyobatilisha wosia wa Regnard Mengi. Pia, Jackline anapinga uteuzi wa Benjamini Mengi na mwenzie kama wasimamizi wa mirathi ya marehemu Regnard Mengi.

PIA, SOMA: Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

View attachment 1933053
 
Wewe unahalalisha wosia kama nani?
huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
 
Huyu Mjane atendewe Haki.

Nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!

Huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!

Anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.

lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana
Haki zipi ambazo hajapewa? Hali? Watoto wake lini wamelala na njaa? Je, hawasomeshwi? Akumbuke tu kuwa life haliwezi kuwa sawa na kipindi Mzee Mopao akiwa hai!

Wakati ule alikuwa untouchable kwa kivuli cha Mangi mkuu😅 kama hakujiongeza alifikiri maisha ni kubadili mapochi na designer clothes Dubai na kwengineko duniani basi apambane na hali yake!

Amedanga kipumbavu wacha aisome namba!
 
Back
Top Bottom