Jacob Zuma: Mr President!

Kichuguu

Platinum Member
Oct 11, 2006
15,551
19,419
Moderator, Baadaye unaweza kuitafutia hii mahala pake; nimeshindwa kujua niiweke wapi.

Hebu angalieni jamaa huyu Jacob Zuma ambaye baadaye anaweza kuwa rais wa taifa lenye nguvu kuliko yote Afrika. Anadumisha utamaduni.

1.jpg


presidentialmaterial1.jpg


presidentialmateiral.jpg
 
picha yake imenikumbusha "mzee Ole" katika Usiku wa Balaa! wakiwa katika mapambano ya kumuona Kibibi Gula!
 
Hizi picha ni za kwenye harusi yake?
Ndio ameanza kujiandaa nini kwa safari ya Pretoria?
 
Kwangu ilo sio tatizo kwani uko ndiko alikotoka.Tena anaonekana ni mtu wa watu ndo maana akachaguliwa kwa kishindo.Tena unaweza kuta walimpenda kwa ilo sio mnakuwa na raisi gloomy!!!!!!!!!!?????????
Keep it up Zuma
 
..... na alivyo m-mbovu m-mbovu kwa vimwana sijui kama huyo jirani yake hapo kama kapona...
 
Jamaa na JK kama baba mmoja mama mmoja!

Thabo Mbeki hawezi ku-get down kama hivi!
 
duuu hilo panga halikiuki taratibu za ki VIP PRETECTION...well nakubaliana kabisa kama south wanataka kumpa huyu jamaa urais kwa vigezo hivi..mtu wa watu,anajimix..ets watuulize watanzania maana hawa ni kama pachas..HAPO ZUMA ALIKUWA AKISHEHEREKEA KUOA MKE WA NNE ..KIMWANA WA MIAKA 33....Huyu jamaa ni popular sana kama ukitaka mtu wa kugombea nae inabidi naye awe intertaioner kama OLIVER NTUKUDZIO,HUGH MASEKELA and the like ...lakini si mtu kama mbeki..au CYRIL RAMAPHOSA....hawamuwezi..!!!..NI KAMA kumshindanisha kikwete [msanii ,intertainer,mtu wa kujimix madisco,mtu wa watoto..just like zuma] na SALIM ,mkapa au mwandosya...hapo unahitaji busara za mtu kama mwalimu kuwafumbua macho kuwa jamani eeh mnachagua uzuri wa jeneza!!! ndani...HATA IDDI AMIN ALIKUWA INTERTAINER JAMANI ..SO guys lets watch this ...alikuwa hakosi music kila weekend..na alikuwa akikaribishwa ngoma lazima naye ajiunge kucheza na kuimba..pia akiwa mtu wa watoto...

ni viongozi wachache sana wenye sifa ya u celebrity and hence perfomers..kama mandela,kenedy,nyerere,CLINTON,YELTSIN ets ...Hawa walikuwa wana uwezo wa kipekee wa kuongea na wakiona usoni watu wanachoka wataleta COMEDY,au hata wakaimba..mtu kama yeltsin yeye alikuwa mara nyingi akipenda sana kuwa conductor wa opera...ets...huchoki kuwasikiliza na pia wanamake sense...

kuna aina nyingine ya viongozi kama MKAPA,MBEKI et al...hawa hawana muda wa kuitaretain wala hawana sifa ya siasa wao wanasema kile wanachotaka kusema basi..hawarembi kwa lolote!!!
 
Mtu ambaye alisema alioga immediately il kujikinga na ukimwi baada ya kufanya ngono bila kinga na mwanamke mwathirika. Mmmh, that leaves a lot to be desired for a future president!!!
 
Moderator, Baadaye unaweza kuitafutia hii mahala pake; nimeshindwa kujua niiweke wapi.

Hebu angalieni jamaa huyu Jacob Zuma ambaye baadaye anaweza kuwa rais wa taifa lenye nguvu kuliko yote Afrika. Anadumisha utamaduni.
Sasa hapo unamsifia, unamkandia au ni lugha tu ngumu...?
 
jf pahala pa kutoa maflasi, kusifu au kukandia yote sawa kaiweka kimtindo anasikilizia wadau watavyochangia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom