ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Well said walahiNdio maana mi huwa sikubaliani na wanaosema eti Israel ile ndio Taifa teule,taifa gani teule linafanya mauaji kwa watu majirani zao wa asili pamoja na kueneza chuki duniani kote.......hata hao wanaoitwa Waisrael walioko huko huwa sio wenyewe hao ni wazungu tu walikusanywa kupelekwa huko