Jacky Mengi aka Jezebel's Daughter

Ila kama amefanya hivyo kweli amechuma dhambi ya bure, mtu mwenyewe alishajifia yule angevuta subira kidogo tu angeondoka mwenyewe
 
Kuna wakati tunabebeshwa mizig isiyo yetu
mbaya zaidi unaibeba kichwani bila kata huku ukijikaza kiume ukilia na kuugulia ndani kwa ndani machozi yake ni yakiwa kisukari na kupunguza uwezo wa tendo la ndoa
 
Kila mtu ahangaikie maisha yake....tetesi siku zote haina uhalali mpaka ithibitishwe.
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom