Alitoa kauli hiyo na nilikuwepo kwenye huo mkutano. Binafsi nachukulia kama vijembe vya kisiasa kwa sababu alikuwa anapambana na Jah People mwenye elimu ya darasa la saba. Hata hivyo Mzee Makweta ni kiongozi bora wa kitaifa kuliko wote waliowahi kuzaliwa NjombePOPIEXO
Una ushahidi wa hicho ukisemacho? We unaonekana una chuki binafsi na marehemu eti ni mtoto wake tu ndo atakuja kuongoza!!! Kwa sisi tuliomfahamu vzr hawezi kutoa kauli kama hiyo. Muulize yeyote aliyefanya nae kazi. JIPANGE