KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nilitishwa nakusikia hili Onyo la Mnadhimu mkuu limenitia wasiwasi sana kuona jeshi la wananchi JWTZ linatoa tamko kali kama hili hapa linaacha maswali mengi hasa kwa nchi ya amani naona kama vili ccm mtaji mkuu waliobaki nao nikutumia vyombo vya dola!kwani hii intokana nakampeni zinazoendelea hazina tija!wasiwasi nilionao je machafuko yaliyotokea kule zanzibar mwaka 2000 je yaweza kutokea bara?je yakitokea hii nchi itakalika??maana wananchi wameamka kisiasa hawataki tena kuyumbishwa! je kama itakuwa hivyo baada ya terehe 30/10/2010 kutakuwepo na usalama?? kama jeshi linalousika na usalama wanchi mipakani limeamua kulinda mipaka ya majimbo yayo simamiwa na "NEC"Tanzania patakalika?JWTZ wanahusika vipi katika uchaguzi wa nchi?