J.Mtatiro ahofia viongozi wa CUF Rufiji kutekwa na Polisi

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
48,785
102,156
TAARIFA MPYA KUTOKA MKURANGA/RUFIJI/KIBITI.

Wenyeviti wetu wawili mitaa (CUF), Ndg. Kazi Mtoteke wa Mtaa wa Ikwiriri Kati na Ndg. Jumanne Kilumike wa Mtaa wa Ikwiriri (wilayani Rufiji) wametekwa na "watu wasiojulikana" (vyombo vya Dola) lakini hata OCD na RPC wanatangaza eti wametekwa na watu wasiojulikana.

Tofauti na wale wauaji wa Polisi wetu 8 na viongozi 30 wa CCM, Watekaji wa sasa wanakuja na magari hadi jirani na nyumba ya mtekwaji (Kiongozi wa CUF), kisha wanaingia ny...umbani kwake wakiwa wamejifunika nyuso na wakishampata kiongozi waliyekuwa wanamsaka wanaondoka naye.

Hii ni oparesheni ya vyombo vya Dola na mimi on the truth I will speak it as it is maana unaishi kwenye nchi ambayo uongo na unafiki are the orders of the day. Wakishaondoka eneo la mji wa mtekwaji wanaingia kwenye gari walilokuja nalo na kuondoka.

Siku 6 zilizopita chama chetu kilianza kuripoti masuala ya Rufiji/Kibiti/Mkuranga na wapo watu walianza kutukejeli bila sababu. Sisi kila tunachozungumza ndiyo hali halisi. Kinachoendelea kwenye wilaya hizo hivi sasa siyo wale wauaji walioleta madhara makubwa, kwa sasa matukio ya utekwaji wa viongozi na uumizaji wa raia yanafanywa na vyombo vya dola, na tuna ushahidi huo. Hivi sasa idadi ya viongozi 12 wa CUF hawajulikani walipo, wanafuatwa majumbani na kutekwa "na watu wasiojulikana".

On my opinion, kazi ya kusaka wale wauaji wa Polisi wetu na viongozi 30 wa CCM imekwama au imeshindikana, na sasa vyombo vya dola vinatafuta JUSTIFICATION ili kum-please RAIS na hata kumdanganya IGP mpya. Kama wauaji HALISI wameshatoroka, hawapo, au wamekimbia hebu tuelezwe ukweli, tusifichane. Haiwezekani sasa kilichobakia ati ni kuwasaka viongozi wa CUF wa matawi, wa kata, wa wilaya, wenyeviti wa kiserikali wanaotokana na CUF kwenye vitongoji, vijiji, mitaa na madiwani wa CUF.

Kwamba ati WAUAJI wa viongozi zaidi ya 30 wa CCM wawe ni viongozi wa CUF! Ajabu kweli kwel! Kwamba yale majambazi/Janjaweed/Mungiki/Intarahamwe (call them any name), yaliyovamia na kuua polisi wetu wasio na hatia na kupora SMG (Bunduki) zote ati hayo mavamizi ni viongozi wa CUF. Na kwa hiyo eti oparesheni ya sasa ya kuyasaka MAUAJI imegeuka kuwa kamata kamata ya viongozi wa CUF. I am so sad for my country and I am speaking it loudly kuwa RPC wa Pwani na timu zake za Opareshenj wanamdanganya IGP, wanamdanganya RAIS na wanafanya haya kui-please CCM ambayo imeondokewa na zaidi ya viongozi 30 wasio na hatia.

The truth must be spoken as it is!

Mtatiro J
 
TAARIFA MPYA KUTOKA MKURANGA/RUFIJI/KIBITI.

Wenyeviti wetu wawili mitaa (CUF), Ndg. Kazi Mtoteke wa Mtaa wa Ikwiriri Kati na Ndg. Jumanne Kilumike wa Mtaa wa Ikwiriri (wilayani Rufiji) wametekwa na "watu wasiojulikana" (vyombo vya Dola) lakini hata OCD na RPC wanatangaza eti wametekwa na watu wasiojulikana.

Tofauti na wale wauaji wa Polisi wetu 8 na viongozi 30 wa CCM, Watekaji wa sasa wanakuja na magari hadi jirani na nyumba ya mtekwaji (Kiongozi wa CUF), kisha wanaingia ny...umbani kwake wakiwa wamejifunika nyuso na wakishampata kiongozi waliyekuwa wanamsaka wanaondoka naye.

Hii ni oparesheni ya vyombo vya Dola na mimi on the truth I will speak it as it is maana unaishi kwenye nchi ambayo uongo na unafiki are the orders of the day. Wakishaondoka eneo la mji wa mtekwaji wanaingia kwenye gari walilokuja nalo na kuondoka.

Siku 6 zilizopita chama chetu kilianza kuripoti masuala ya Rufiji/Kibiti/Mkuranga na wapo watu walianza kutukejeli bila sababu. Sisi kila tunachozungumza ndiyo hali halisi. Kinachoendelea kwenye wilaya hizo hivi sasa siyo wale wauaji walioleta madhara makubwa, kwa sasa matukio ya utekwaji wa viongozi na uumizaji wa raia yanafanywa na vyombo vya dola, na tuna ushahidi huo. Hivi sasa idadi ya viongozi 12 wa CUF hawajulikani walipo, wanafuatwa majumbani na kutekwa "na watu wasiojulikana".

On my opinion, kazi ya kusaka wale wauaji wa Polisi wetu na viongozi 30 wa CCM imekwama au imeshindikana, na sasa vyombo vya dola vinatafuta JUSTIFICATION ili kum-please RAIS na hata kumdanganya IGP mpya. Kama wauaji HALISI wameshatoroka, hawapo, au wamekimbia hebu tuelezwe ukweli, tusifichane. Haiwezekani sasa kilichobakia ati ni kuwasaka viongozi wa CUF wa matawi, wa kata, wa wilaya, wenyeviti wa kiserikali wanaotokana na CUF kwenye vitongoji, vijiji, mitaa na madiwani wa CUF.

Kwamba ati WAUAJI wa viongozi zaidi ya 30 wa CCM wawe ni viongozi wa CUF! Ajabu kweli kwel! Kwamba yale majambazi/Janjaweed/Mungiki/Intarahamwe (call them any name), yaliyovamia na kuua polisi wetu wasio na hatia na kupora SMG (Bunduki) zote ati hayo mavamizi ni viongozi wa CUF. Na kwa hiyo eti oparesheni ya sasa ya kuyasaka MAUAJI imegeuka kuwa kamata kamata ya viongozi wa CUF. I am so sad for my country and I am speaking it loudly kuwa RPC wa Pwani na timu zake za Opareshenj wanamdanganya IGP, wanamdanganya RAIS na wanafanya haya kui-please CCM ambayo imeondokewa na zaidi ya viongozi 30 wasio na hatia.

The truth must be spoken as it is!

Mtatiro J
Hapa kuna shida,tumeambiwa viongozi wanauwawa huko kibiti na wengi wameshakimbia lakini hawa wa CUF hawajakimbia wala hawauawi na hao janjawid kwanini? .Yawezekana usalama wamehisi kuna taarifa itapatikana kutoka kwa viongozi wa CUF.
 
kama ningekuwa na mamlaka, halafu nakabiliwa na wakati mgumu kama huu unaohatarisha maisha ya watu na usalama wa taifa kwa ujumla....then anakuja mtu km huyu na upumbavu km huu, wallah ningemshutilia mbali!!!!!
 
Mtatiro umechanganyikiwa, una ushahidi hayo unayoongea? Kama viongozi wengine wamepoteeza maisha,kwa nini hawa 2 unakuja na hitimisho la namna hii? Utasaidia upelelezi,hakuna siasa hapa.
 
Hii operesheni yao inafeli kabisa. Kwa kuingiza siasa badala ya kuangalia chanzo halisi. Mgambo walikua ni viongozi wa CCM? Mapolisi waliouawa nao ni viongozi wa CCM?
Jamaa wameshafirahi kama hawashughulikiwa na naona lengo lao lomefanikiwa kijificha nyuma ya hii siasa. Wanasubiri siku tu wapate kuendelea na kazi yao maana tayari hata wakipiga tukio itaonekana ni CUF tu.
 
TAARIFA MPYA KUTOKA MKURANGA/RUFIJI/KIBITI.

Wenyeviti wetu wawili mitaa (CUF), Ndg. Kazi Mtoteke wa Mtaa wa Ikwiriri Kati na Ndg. Jumanne Kilumike wa Mtaa wa Ikwiriri (wilayani Rufiji) wametekwa na "watu wasiojulikana" (vyombo vya Dola) lakini hata OCD na RPC wanatangaza eti wametekwa na watu wasiojulikana.

Tofauti na wale wauaji wa Polisi wetu 8 na viongozi 30 wa CCM, Watekaji wa sasa wanakuja na magari hadi jirani na nyumba ya mtekwaji (Kiongozi wa CUF), kisha wanaingia nyumbani kwake wakiwa wamejifunika nyuso na wakishampata kiongozi waliyekuwa wanamsaka wanaondoka naye.

Hii ni oparesheni ya vyombo vya Dola na mimi on the truth I will speak it as it is maana unaishi kwenye nchi ambayo uongo na unafiki are the orders of the day. Wakishaondoka eneo la mji wa mtekwaji wanaingia kwenye gari walilokuja nalo na kuondoka.

Siku 6 zilizopita chama chetu kilianza kuripoti masuala ya Rufiji/Kibiti/Mkuranga na wapo watu walianza kutukejeli bila sababu. Sisi kila tunachozungumza ndiyo hali halisi. Kinachoendelea kwenye wilaya hizo hivi sasa siyo wale wauaji walioleta madhara makubwa, kwa sasa matukio ya utekwaji wa viongozi na uumizaji wa raia yanafanywa na vyombo vya dola, na tuna ushahidi huo. Hivi sasa idadi ya viongozi 12 wa CUF hawajulikani walipo, wanafuatwa majumbani na kutekwa "na watu wasiojulikana".

On my opinion, kazi ya kusaka wale wauaji wa Polisi wetu na viongozi 30 wa CCM imekwama au imeshindikana, na sasa vyombo vya dola vinatafuta JUSTIFICATION ili kum-please RAIS na hata kumdanganya IGP mpya. Kama wauaji HALISI wameshatoroka, hawapo, au wamekimbia hebu tuelezwe ukweli, tusifichane. Haiwezekani sasa kilichobakia ati ni kuwasaka viongozi wa CUF wa matawi, wa kata, wa wilaya, wenyeviti wa kiserikali wanaotokana na CUF kwenye vitongoji, vijiji, mitaa na madiwani wa CUF.

Kwamba ati WAUAJI wa viongozi zaidi ya 30 wa CCM wawe ni viongozi wa CUF! Ajabu kweli kwel! Kwamba yale majambazi/Janjaweed/Mungiki/Intarahamwe (call them any name), yaliyovamia na kuua polisi wetu wasio na hatia na kupora SMG (Bunduki) zote ati hayo mavamizi ni viongozi wa CUF. Na kwa hiyo eti oparesheni ya sasa ya kuyasaka MAUAJI imegeuka kuwa kamata kamata ya viongozi wa CUF. I am so sad for my country and I am speaking it loudly kuwa RPC wa Pwani na timu zake za Opareshenj wanamdanganya IGP, wanamdanganya RAIS na wanafanya haya kui-please CCM ambayo imeondokewa na zaidi ya viongozi 30 wasio na hatia.

The truth must be spoken as it is!

Mtatiro J
f23e37d2450b3effc97b328a453cdfff.jpg
 
kama ningekuwa na mamlaka, halafu nakabiliwa na wakati mgumu kama huu unaohatarisha maisha ya watu na usalama wa taifa kwa ujumla....then anakuja mtu km huyu na upumbavu km huu, wallah ningemshutilia mbali!!!!!
Uwe unashirikisha ubongo wako kidogo!
Amesema wanaushahidi!
Tatizo liko wapi?
 
Mpaka hapo wale wauwaji wamelamba dume na kinachoendelea ni petrol inazidi kumwagwa. Hao wauwaji hawajaanza leo. Awamu ya pili ya kikwete wameua na kunyang'anya siraha askari. Kubadili hili suala kuwa la CCM vs CUF kama vyombo vya usalama vifanyanyo siyo tu ni hatari kwa amani ya inchi bali pia ni nafuu kwa snipers maana focus imepotea
 
Mpaka hapo wale wauwaji wamelamba dume na kinachoendelea ni petrol inazidi kumwagwa. Hao wauwaji hawajaanza leo. Awamu ya pili ya kikwete wameua na kunyang'anya siraha askari. Kubadili hili suala kuwa la CCM vs CUF kama vyombo vya usalama vifanyanyo siyo tu ni hatari kwa amani ya inchi bali pia ni nafuu kwa snipers maana focus imepotea
Hakuna kitu kibaya kama kupoteza muelekeo katika vita. hapo ni lazima adui yako achekee kwa sauti kuwa amekubamba na ana uhakika wa kuendelea kukutesa atakavyo
 
mkuranga.jpg


Wenyeviti wetu wawili mitaa (CUF), Ndg. Kazi Mtoteke wa Mtaa wa Ikwiriri Kati na Ndg. Jumanne Kilumike wa Mtaa wa Ikwiriri (wilayani Rufiji) wametekwa na "watu wasiojulikana" (vyombo vya Dola) lakini hata OCD na RPC wanatangaza eti wametekwa na watu wasiojulikana.

Tofauti na wale wauaji wa Polisi wetu 8 na viongozi 30 wa CCM, Watekaji wa sasa wanakuja na magari hadi jirani na nyumba ya mtekwaji (Kiongozi wa CUF), kisha wanaingia ny...umbani kwake wakiwa wamejifunika nyuso na wakishampata kiongozi waliyekuwa wanamsaka wanaondoka naye.

Hii ni oparesheni ya vyombo vya Dola na mimi on the truth I will speak it as it is maana unaishi kwenye nchi ambayo uongo na unafiki are the orders of the day. Wakishaondoka eneo la mji wa mtekwaji wanaingia kwenye gari walilokuja nalo na kuondoka.

Siku 6 zilizopita chama chetu kilianza kuripoti masuala ya Rufiji/Kibiti/Mkuranga na wapo watu walianza kutukejeli bila sababu. Sisi kila tunachozungumza ndiyo hali halisi. Kinachoendelea kwenye wilaya hizo hivi sasa siyo wale wauaji walioleta madhara makubwa, kwa sasa matukio ya utekwaji wa viongozi na uumizaji wa raia yanafanywa na vyombo vya dola, na tuna ushahidi huo. Hivi sasa idadi ya viongozi 12 wa CUF hawajulikani walipo, wanafuatwa majumbani na kutekwa "na watu wasiojulikana".

On my opinion, kazi ya kusaka wale wauaji wa Polisi wetu na viongozi 30 wa CCM imekwama au imeshindikana, na sasa vyombo vya dola vinatafuta JUSTIFICATION ili kum-please RAIS na hata kumdanganya IGP mpya. Kama wauaji HALISI wameshatoroka, hawapo, au wamekimbia hebu tuelezwe ukweli, tusifichane. Haiwezekani sasa kilichobakia ati ni kuwasaka viongozi wa CUF wa matawi, wa kata, wa wilaya, wenyeviti wa kiserikali wanaotokana na CUF kwenye vitongoji, vijiji, mitaa na madiwani wa CUF.

Kwamba ati WAUAJI wa viongozi zaidi ya 30 wa CCM wawe ni viongozi wa CUF! Ajabu kweli kwel! Kwamba yale majambazi/Janjaweed/Mungiki/Intarahamwe (call them any name), yaliyovamia na kuua polisi wetu wasio na hatia na kupora SMG (Bunduki) zote ati hayo mavamizi ni viongozi wa CUF. Na kwa hiyo eti oparesheni ya sasa ya kuyasaka MAUAJI imegeuka kuwa kamata kamata ya viongozi wa CUF. I am so sad for my country and I am speaking it loudly kuwa RPC wa Pwani na timu zake za Opareshenj wanamdanganya IGP, wanamdanganya RAIS na wanafanya haya kui-please CCM ambayo imeondokewa na zaidi ya viongozi 30 wasio na hatia.

The truth must be spoken as it is!

Mtatiro J
 
kwa hiyo mtatilo anamaanisha viongozi wa cuf hawawezi kuwa wahalifu sio? mbona alikuwa kimya wakati ccm wakiuawa? hapa cuf wana nyendo za wasiwasi na PSE vyombo vya Dola mulika sana Hawa hata iwe mchana
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom