mwitaz
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 315
- 93
wana JF,
Umeme una manufaa makubwa kwa maisha ya kila siku kwa binadamu na endapo kukawa na ukosefu au mgawo wa umeme, kutakuwa na madhara makubwa kwa kuwa umeme unatumika viwandani, hospitalini, barabarani na majumbani kwa matumizi ya majokofu ya kupoozea vinywaji, vyakula ili visioze, mwangaza, kupiga pasi, kusaga unga, kukata nyama na shughuli nyinginezo..
Mgawo wa umeme unatabiriwa na Mh. J. Makamba katika mtandao wa www.twitter.com alimwandikia Michael Dalali hivi "JMakamba @MichaelDalali Mwaka 2011,
nilisema
kwamba suluhu
ya umeme
haiwezi
kufikiwa kabla ya 2013. Kauli
yangu inabaki
pale pale.
Mgawo wa umeme 2012 & 2013"
Kauli hii ya mwana CCM inatuambia Wananchi tujiandae kuka giza, kutokutazama Tv, kutokupiga pasi, kutokutengeneza juisi za matunda, kukosa maji kwa kuwa mashine za maji haziwezi kusukuma maji bila umeme na hìvyo basi tusinywe maji na tusiende Msalani kwa kuwa hatuna maji, vyakula kuoza kwa kuwa majokofu hayawezi kufanya kazi bila umeme na matatizo mengineyo mengi yatakayosabishwa na mgawo wa umeme.
Kwa nguvu zangu zote naomba nichukuwe nafasi hii kuwajuza wananchi kuwa CCM wameshindwa kuongoza Taifa letu na ndio maana walishindwa si kuandaa mazingira bali hata nakufua umeme kwa takribani miaka kumi iliyoisha. Na dawa ya ugonjwa huu itapatikana katika msemo 'BIDÍI YETU ITAINGIZA CHADEMA MADARAKANI' ambalo pia ni kundi katika mtandao wa www.facebook.com
Pamoja tunaweza kujenga Taifa letu kuwa imara na la kutamanika na nchi zingine kama tutajitahidi kuondoa CCM madarakani kwa kutumia nguvu ya kitambulisho cha kupiga kura ifikapo mwaka 2015.
Nawasilisha
Umeme una manufaa makubwa kwa maisha ya kila siku kwa binadamu na endapo kukawa na ukosefu au mgawo wa umeme, kutakuwa na madhara makubwa kwa kuwa umeme unatumika viwandani, hospitalini, barabarani na majumbani kwa matumizi ya majokofu ya kupoozea vinywaji, vyakula ili visioze, mwangaza, kupiga pasi, kusaga unga, kukata nyama na shughuli nyinginezo..
Mgawo wa umeme unatabiriwa na Mh. J. Makamba katika mtandao wa www.twitter.com alimwandikia Michael Dalali hivi "JMakamba @MichaelDalali Mwaka 2011,
nilisema
kwamba suluhu
ya umeme
haiwezi
kufikiwa kabla ya 2013. Kauli
yangu inabaki
pale pale.
Mgawo wa umeme 2012 & 2013"
Kauli hii ya mwana CCM inatuambia Wananchi tujiandae kuka giza, kutokutazama Tv, kutokupiga pasi, kutokutengeneza juisi za matunda, kukosa maji kwa kuwa mashine za maji haziwezi kusukuma maji bila umeme na hìvyo basi tusinywe maji na tusiende Msalani kwa kuwa hatuna maji, vyakula kuoza kwa kuwa majokofu hayawezi kufanya kazi bila umeme na matatizo mengineyo mengi yatakayosabishwa na mgawo wa umeme.
Kwa nguvu zangu zote naomba nichukuwe nafasi hii kuwajuza wananchi kuwa CCM wameshindwa kuongoza Taifa letu na ndio maana walishindwa si kuandaa mazingira bali hata nakufua umeme kwa takribani miaka kumi iliyoisha. Na dawa ya ugonjwa huu itapatikana katika msemo 'BIDÍI YETU ITAINGIZA CHADEMA MADARAKANI' ambalo pia ni kundi katika mtandao wa www.facebook.com
Pamoja tunaweza kujenga Taifa letu kuwa imara na la kutamanika na nchi zingine kama tutajitahidi kuondoa CCM madarakani kwa kutumia nguvu ya kitambulisho cha kupiga kura ifikapo mwaka 2015.
Nawasilisha