Mkenazi
Senior Member
- Apr 11, 2011
- 124
- 43
Ndugu wadau hii imekaaje? au ndiyo siri ya kutaka serikali tatu?
SERIKALI, RAIS NA MAKAMU WA RAIS
Haki ya
kuchaguli
wa tena
76
.-(1) Mtu ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena kushika kiti
hicho kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
(2) Mtu hatakuwa na sifa ya kugombea na kuchaguliwa zaidi ya
vipindi viwili katika nafasi ya madaraka ya Rais.
(3) Mtu aliyewahi kuwa Rais wa Tanzania Bara au Zanzibar
hatapoteza sifa za kugombea na kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya
Muungano kwa sababu aliwahi kushika nafasi ya madaraka ya Rais wa
Tanzania Bara au Rais wa Zanzibar.
Naendele kupitia vifungu vingine.
SURA YA SABA
SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO
SEHEMU YA KWANZA
SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO
SEHEMU YA KWANZA
SERIKALI, RAIS NA MAKAMU WA RAIS
Haki ya
kuchaguli
wa tena
76
.-(1) Mtu ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena kushika kiti
hicho kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
(2) Mtu hatakuwa na sifa ya kugombea na kuchaguliwa zaidi ya
vipindi viwili katika nafasi ya madaraka ya Rais.
(3) Mtu aliyewahi kuwa Rais wa Tanzania Bara au Zanzibar
hatapoteza sifa za kugombea na kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya
Muungano kwa sababu aliwahi kushika nafasi ya madaraka ya Rais wa
Tanzania Bara au Rais wa Zanzibar.
Naendele kupitia vifungu vingine.