Wewe mwenyewe umesema 'naniliu' halafu kutwa kuchwa kumdai JK ataje wauzaji wakubwa... ThubutuHuyo nae boya huko JKIA n KIA noma siku hizi.. watu wanapitia naniliu
mnapitia wapi vile....?Huyo nae boya huko JKIA n KIA noma siku hizi.. watu wanapitia naniliu
Wewe mwenyewe umesema 'naniliu' halafu kutwa kuchwa kumdai JK ataje wauzaji wakubwa... Thubutu
hahaaaaa jamaa amechukuliwa fasta sidhani kama kweli ni 95 pekee jinsi walivyokuwa wanamuwaisha kwenye kaofisi chaoMwingine akamatwa na cocaine uwanja wa ndege wa J.K Nyerere, ni Raia wa Sierra Leone akiwa na pipi 95