simon james
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 283
- 140
Wapendwa wana JF leo mchana JK aliwasili nyumbani kwa aliyekuwa Dereva ikulu kutoa salam zake za mwisho kwa marehemu dereva huyo kabla ya maiti kusafirishwa kwenda morogoro.
Source TBC.
Yawezekana kushirik kwake misiba ni kwasababu anajali sana jamii na leo week end hakuwa buzy
Source TBC.
Yawezekana kushirik kwake misiba ni kwasababu anajali sana jamii na leo week end hakuwa buzy