Dawa ya wasaliti
New Member
- Mar 22, 2018
- 1
- 1
Umesharudisha kadi na pesa za ccm umekula, sasa nenda kafanye biashara tu, ukijidanganya kuja kugombea Kama Mtulia alivyofanya kinondoni usije kusema hukuambiwa.
Tulihatarisha maisha yetu tukisakwa ili tuuawe kwa sababu ya kusimamia haki yako, leo umetugeuka kwa tamaa ya pesa huku ukiahidiwa tena kuupata udiwani kwa tiketi ya Hao ccm waliokununua.
Kama hutapata ujumbe huu basi ndugu zako au wana CCM wenzako ulikohamia wakufikishie, nenda kafanye biashara usije kujilaumu,tumechoka kuonewa sasa.
Tulihatarisha maisha yetu tukisakwa ili tuuawe kwa sababu ya kusimamia haki yako, leo umetugeuka kwa tamaa ya pesa huku ukiahidiwa tena kuupata udiwani kwa tiketi ya Hao ccm waliokununua.
Kama hutapata ujumbe huu basi ndugu zako au wana CCM wenzako ulikohamia wakufikishie, nenda kafanye biashara usije kujilaumu,tumechoka kuonewa sasa.