Inapendeza AiseeNdoto yake imetimia
Mungu mkubwaNdoto yake imetimia
Alisema 'viongozi wote hawakutaka/hawataki kuzikwa Dodoma'..katika moja ya hotuba zake Magufuli alisema anataka kuzikwa nyumbani kwao na sio Dodoma kulikopendekezwa kuwe na makaburi ya viongozi.
Kwanini Mkapa, kwanini Nyerere, na wengine wengi? Nadhani ukiacha nafasi ya wao kuwa viongozi wana familia, na nyumbani kwao.Je, ni kwa nini rais Magufuli hakuzikwa kwenye eneo la viongozi Dodoma?
Hivi unaishi Tanzania na kufuatilia mambo muhimu? Mbona hii aliifuta mwenyewe Magufuli alipokuwa Rais? Na ilipitishwa Bungeni tena? Na alifanya reference kuwa kama Baba wa Taifa kazikwa kwao kwa nini wengine wazikwe Dodoma? Na ikaendeleze kwa Mkapa na yeye pia? Mbona hukuuliza kwa nini Marehemu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu alizikwa Lupaso? Tena huko hakuna hata maendeleo maana hakutumia rasilimali kujengea kwao kwa upendeleo kama alivyofanya Marehemu Magufuli.Wadau nawasalimu.
Nadhani mtakumbuka wakati serikali ya awamu ya 5 ipo madaraka na ilipokuwa inahamia dodoma rais magufuli alitangaza kuwa serikali imetenga eneo kwa ajili ya kuwazika viongozi wa kitaifa pindi watakapo kuwa wamefariki.
Mungu sio athumani Magufuli akawa kiongozi wa kwanza kufariki baada ya tangazo hilo, lakini cha ajabu baada ya kufa kwake serikali ilianza mchakato wa kwenda kumzika kijijini kwao Chato badala ya Dodoma ambapo Magufuli alitenga eneo kwa ajili ya kuwazika viongozi na yeye akiwemo.
Je, ni kwa nini rais Magufuli hakuzikwa kwenye eneo la viongozi Dodoma?
Wadau nawasalimu.
Nadhani mtakumbuka wakati serikali ya awamu ya 5 ipo madaraka na ilipokuwa inahamia dodoma rais magufuli alitangaza kuwa serikali imetenga eneo kwa ajili ya kuwazika viongozi wa kitaifa pindi watakapo kuwa wamefariki.
Mungu sio athumani Magufuli akawa kiongozi wa kwanza kufariki baada ya tangazo hilo, lakini cha ajabu baada ya kufa kwake serikali ilianza mchakato wa kwenda kumzika kijijini kwao Chato badala ya Dodoma ambapo Magufuli alitenga eneo kwa ajili ya kuwazika viongozi na yeye akiwemo.
Je, ni kwa nini rais Magufuli hakuzikwa kwenye eneo la viongozi Dodoma?
Wadau nawasalimu.
Nadhani mtakumbuka wakati serikali ya awamu ya 5 ipo madaraka na ilipokuwa inahamia dodoma rais magufuli alitangaza kuwa serikali imetenga eneo kwa ajili ya kuwazika viongozi wa kitaifa pindi watakapo kuwa wamefariki.
Mungu sio athumani Magufuli akawa kiongozi wa kwanza kufariki baada ya tangazo hilo, lakini cha ajabu baada ya kufa kwake serikali ilianza mchakato wa kwenda kumzika kijijini kwao Chato badala ya Dodoma ambapo Magufuli alitenga eneo kwa ajili ya kuwazika viongozi na yeye akiwemo.
Je, ni kwa nini rais Magufuli hakuzikwa kwenye eneo la viongozi Dodoma?
Wadau nawasalimu.
Nadhani mtakumbuka wakati serikali ya awamu ya 5 ipo madaraka na ilipokuwa inahamia dodoma rais magufuli alitangaza kuwa serikali imetenga eneo kwa ajili ya kuwazika viongozi wa kitaifa pindi watakapo kuwa wamefariki.
Mungu sio athumani Magufuli akawa kiongozi wa kwanza kufariki baada ya tangazo hilo, lakini cha ajabu baada ya kufa kwake serikali ilianza mchakato wa kwenda kumzika kijijini kwao Chato badala ya Dodoma ambapo Magufuli alitenga eneo kwa ajili ya kuwazika viongozi na yeye akiwemo.
Je, ni kwa nini rais Magufuli hakuzikwa kwenye eneo la viongozi Dodoma?
Mkuu usipate shida utazikwa wapi au ndani ya mkoa gani. Kumbuka wapo binadamu wanaoliwa na wanyama wa porini kama Simba. Yesu akirudi mara ya pili, Waliomwamini wote watafufuliwa katika ufufuo wa kwanza. Wengine waliokataa kumwamini Yesu watafufuliwa baada ya miaka 1000 kupewa adhabu . Soma Biblia katika 1 Wathesalonike 4:13-14 na Kitabu cha Ufunuo 20:1-5
Kila mtu azikwe kwao. Siku akibainika kuwa na dosari itakuwaje, atahamishwa.Wadau nawasalimu.
Nadhani mtakumbuka wakati serikali ya awamu ya 5 ipo madaraka na ilipokuwa inahamia dodoma rais magufuli alitangaza kuwa serikali imetenga eneo kwa ajili ya kuwazika viongozi wa kitaifa pindi watakapo kuwa wamefariki.
Mungu sio athumani Magufuli akawa kiongozi wa kwanza kufariki baada ya tangazo hilo, lakini cha ajabu baada ya kufa kwake serikali ilianza mchakato wa kwenda kumzika kijijini kwao Chato badala ya Dodoma ambapo Magufuli alitenga eneo kwa ajili ya kuwazika viongozi na yeye akiwemo.
Je, ni kwa nini rais Magufuli hakuzikwa kwenye eneo la viongozi Dodoma?
ALIYEPENDEKEZA ni yeye sasa alitaka kiongozi gani?..katika moja ya hotuba zake Magufuli alisema anataka kuzikwa nyumbani kwao na sio Dodoma kulikopendekezwa kuwe na makaburi ya viongozi.
ALIYETOA WAZO HILO NI MAGUFULI mwenyewe nilitegemea angemzika Mkapa kisha nae AkazikwaHivi unaishi Tanzania na kufuatilia mambo muhimu? Mbona hii aliifuta mwenyewe Magufuli alipokuwa Rais? Na ilipitishwa Bungeni tena? Na alifanya reference kuwa kama Baba wa Taifa kazikwa kwao kwa nini wengine wazikwe Dodoma? Na ikaendeleze kwa Mkapa na yeye pia? Mbona hukuuliza kwa nini Marehemu Benjamin Mkapa, Rais Mstaafu alizikwa Lupaso? Tena huko hakuna hata maendeleo maana hakutumia rasilimali kujengea kwao kwa upendeleo kama alivyofanya Marehemu Magufuli.
Tujitahidi kufuatilia habari muhimu ili kuepuka thread kama hizi.
Unamwambia Magufuli au mimi? Kumbuka mimi sio kiongozi niliyetakiwa kuzikwa kwenye eneo la ViongoziMkuu usipate shida utazikwa wapi au ndani ya mkoa gani. Kumbuka wapo binadamu wanaoliwa na wanyama wa porini kama Simba.Yesu akirudi mara ya pili, Waliomwamini wote watafufuliwa katika ufufuo wa kwanza. Wengine waliokataa kumwamini Yesu watafufuliwa baada ya miaka 1000 kupewa adhabu . Soma Biblia katika 1 Wathesalonike 4:13-14 na Kitabu cha Ufunuo 20:1-5