Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Hahahaaaaa Mchechu anapigwa makavu hapa anacheka tuu, mh hacheki na nyani hapaBod upo? Unaona jamaa anavypigwa makofi bila chenga. Duh! Tuwe tunamwomba MUNGU anatupa maneno ya kuongea jamani. Duh!
Anasema " Nimekuchapa kwa uwazi" Duh!
Mimi nipo hapa na ni lazima niwepo sitaondoka napenda sana speech za Rais wangu