FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
leo nimetumia muda mwingi kusikiliza na kuangalia forum ya imf na africa ktk econimic crisis ya dunia.
Nimeshangazwa sana mkuu wangu mkulo ku high light kuwa africa inasonga mbele na kuipa dunia mfano ni sehemu forum inapofanyika!!!
Mkuu wa imf naye akafagalia sana hilo.
Ninatafakari sana nchi kujifagilia product iliyozaliwa na mradi ambao pccb wanatuambia mseminari na wenzake wamemega salio kiaina, nchi iko mahakamani ikinung'unika dhidi ya liyumba!!!!!
Tutajidili mantiki ya mh. Mkulo, karibuni
Nimeshangazwa sana mkuu wangu mkulo ku high light kuwa africa inasonga mbele na kuipa dunia mfano ni sehemu forum inapofanyika!!!
Mkuu wa imf naye akafagalia sana hilo.
Ninatafakari sana nchi kujifagilia product iliyozaliwa na mradi ambao pccb wanatuambia mseminari na wenzake wamemega salio kiaina, nchi iko mahakamani ikinung'unika dhidi ya liyumba!!!!!
Tutajidili mantiki ya mh. Mkulo, karibuni