Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Sasa inakuaje wanawachukua wapinzan kwa gharama na kuwapa nafasi za uongoz mpaka uwazir, ukuu wa mkoa na wilaya?Upinzani hawana watu wenye USHAWISHI wa kukubalika na nchi nzima.....
Ndio maana wanakiangalia CHUO KIKUU CHA SIASA TANZANIA....CCM.....
CCM ndiko wanakopikwa makada nguli ,wabobezi wanaoendana na SIASA ZA TAIFA HILI......
Siasa za CCM ni umbile safi linaloendana na TANGANYIKA NA ZANZIBAR iliyoleta TANZANIA.....nje ya hapo ni HISIA TU.....HISIA TU....nje ya hapo hakuna UHALISIA......
#SiempreCCM
#CCMNiImaniHaswa