Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 55,778
- 90,500
Umeandika kitu usichokuwa na uelewa nacho, endelea kujifunza duniani kuna haki na kuna wajibu, haki ya mtu ni haki yake haijarishi umri, halafu unafuata wajibu.Unakuta mamtu mazima nayo yanagombania mali za urithi na watoto wadogo........hadi mnakuwa watu wazima mzee ameshawapa michongo yote au mmeshatafuta dili zenu, mali za urithi achieni watoto wadogo au zisimamieni kwa niaba yao.