Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Tangu Lowassa arudi CCM siku ya jana,kumekuwa na hoja za kusema eti Dr.Slaa sasa arudi CHADEMA kwani Lowassa amerudi alikotoka.
Ndugu zangu wapenda mabadiliko,nawaonya kamawe msikubali wazo hili kwani unaweza kufanyika mchezo mchafu wa huyu bwana kurudi CHADEMA alafu ikifika 2020 arudi tena CCM huku akiitaja sababu kibao za kuondoka tena CHADEMA.
Dr.Slaa angekuwa na msimamo wa kuikataa CCM,kamwe asingeipigia debe CCM mwaka 2015 bali angehamia chama kingine cha siasa au kupumzika siasa na si alichokifanya.
Kwa siasa za nchi hii, kila kitu kinawezekana yakiwemo yasiyowezekana.
Ndugu zangu wapenda mabadiliko,nawaonya kamawe msikubali wazo hili kwani unaweza kufanyika mchezo mchafu wa huyu bwana kurudi CHADEMA alafu ikifika 2020 arudi tena CCM huku akiitaja sababu kibao za kuondoka tena CHADEMA.
Dr.Slaa angekuwa na msimamo wa kuikataa CCM,kamwe asingeipigia debe CCM mwaka 2015 bali angehamia chama kingine cha siasa au kupumzika siasa na si alichokifanya.
Kwa siasa za nchi hii, kila kitu kinawezekana yakiwemo yasiyowezekana.