fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,408
- 7,961
Hata aseme nini,atahukumiwa kwa conscience yake,mkuu wako akikutuma uovu unakataaWanamageuzi wote wa ndani ya nchi wanasema kuwa RAIS wa nchi hapingwi na mamlaka yake ni makubwa mno.
Iwapo komredi SABAYA atasema pasi na shaka mbele ya mahakama kuwa alifanya vile kwa amri za mkuu wake wa nchi nani atamsakama tena?