MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
Wanamageuzi wote wa ndani ya nchi wanasema kuwa RAIS wa nchi hapingwi na mamlaka yake ni makubwa mno.
Iwapo komredi SABAYA atasema pasi na shaka mbele ya mahakama kuwa alifanya vile kwa amri za mkuu wake wa nchi nani atamsakama tena?
Pamoja na mamlaka alionayo Rais sijawahi kuona kama Mahakama itashindwa kuhamua.