Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Nawauliza CCM iwapo CHADEMA ikishinda uchaguzi mko tayari kuvaa viatu vya CHADEMA?
1. Kuzuiwa kufanya mikutano ya hadhara na ndani miaka 5
2. Vyombo vyenu vyote vya habari vifungiwe na TBC isifu tu juhudi za Lissu na CHADEMA
3. Wanaharakati wenu bungeni na nje ya bunge waandamwe na watu wasiojulikana halafu uchunguzi usifanyike
4. Mkijaribu kufanya mikutano lazima mkutane na bomu ya machozi
5. Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama kuwatishia
6. Viongozi wenu wakubwa wa CCM mali zao zitaifishwe au accounts zao zifungiwe hata kama ni mali halali
7. Viongozi wenu wa CCM wawekwe mahabusu halafu mkaombe hela za michango kwa ajili ya dhamana
Mtaweza kufanya yote hayo?
1. Kuzuiwa kufanya mikutano ya hadhara na ndani miaka 5
2. Vyombo vyenu vyote vya habari vifungiwe na TBC isifu tu juhudi za Lissu na CHADEMA
3. Wanaharakati wenu bungeni na nje ya bunge waandamwe na watu wasiojulikana halafu uchunguzi usifanyike
4. Mkijaribu kufanya mikutano lazima mkutane na bomu ya machozi
5. Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama kuwatishia
6. Viongozi wenu wakubwa wa CCM mali zao zitaifishwe au accounts zao zifungiwe hata kama ni mali halali
7. Viongozi wenu wa CCM wawekwe mahabusu halafu mkaombe hela za michango kwa ajili ya dhamana
Mtaweza kufanya yote hayo?